JamiiForums
Official JF Response
- Nov 9, 2006
- 6,200
- 4,984
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Kuna baadhi ya matangazo hayaruhusiwi kabisa JamiiForums. Mfano matangazo ya kurasa za Blogs, Facebook, Instagram, Twitter, au mtandao wowote yataondolewa mara moja. Pia haturuhusu matangazo ya madawa ya asili, vipodozi, Tiba ya asili nk.
Serikali yapiga marufuku matangazo ya tiba za asili
NB: Matangazo yote yakae Jukwaa la Matangazo.
Karibuni kwa maswali na ufafanuzi zaidi..
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
- Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
- Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na picha yake halisi.
- Taja bei
- Taja mahali huduma/bidhaa hiyo inapopatikana pamoja na mawasiliano yako.(Usiwaambie watu wakufuate PM kwa Mawasiliano. Weka namba ya simu)
- Weka taarifa mpya kuhusu bidhaa hiyo kwenye uzi husika, usianzishe uzi mpya.
- Usiweke tangazo moja mara nyingi.
Kuna baadhi ya matangazo hayaruhusiwi kabisa JamiiForums. Mfano matangazo ya kurasa za Blogs, Facebook, Instagram, Twitter, au mtandao wowote yataondolewa mara moja. Pia haturuhusu matangazo ya madawa ya asili, vipodozi, Tiba ya asili nk.
Serikali yapiga marufuku matangazo ya tiba za asili
NB: Matangazo yote yakae Jukwaa la Matangazo.
Karibuni kwa maswali na ufafanuzi zaidi..