Mwongozo wa Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha sita 2014 na Kidato cha Nne 2014

Sigwame

Member
Dec 8, 2012
71
13
Katika kupitia tovuti ya NECTA nimekutana na huo mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaoinesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama zilizotumika Kidato cha Nne 2014 zenye A, B+ C, D, E na F. Tofauti na miaka iliyopita E itamaanisha kufeli na siyo principal pass tena.

Kwa maelezo zaidi fungua hiyo link

http://www.online.necta.go.tz/BRN/MWONGOZO_WA_MATUMIZI_YA_VIWANGO_VYA_UFAULU.pdf
 

Attachments

  • MWONGOZO_WA_MATUMIZI_YA_VIWANGO_VYA_UFAULU.pdf
    20.9 MB · Views: 370
Katika kupitia tovuti ya NECTA nimekutana na huo mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaoinesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama zilizotumika Kidato cha Nne 2014 zenye A, B+ C, D, E na F. Tofauti na miaka iliyopita E itamaanisha kufeli na siyo principal pass tena.

Kwa maelezo zaidi fungua hiyo link

http://www.online.necta.go.tz/BRN/MWONGOZO_WA_MATUMIZI_YA_VIWANGO_VYA_UFAULU.pdf
Na Principle ni kuanzia ngapi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom