Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
WanaJF nisaidie sheria za kazi zinasemaje kuhusu mtumishi wa umma anayeenda kusomea kada tofauti na ile aliyoajiriwa nayo?
Mf. niliajiliwa kama mwalimu nina miaka 8 kazini na nimejiendeleza kwenye evening class nikafikia vigezo vya kusomea Udaktari MD,mwajiri yaani serikari atanilipia masomo?mshahara wangu wa ualimu nitaendelea kupata wakati ninasoma?nikimaliza masomo nitaomba kuajiliwa upya au nitaamishwa tu kwenda department nyingine?
Naomba msaada japo kidogo tu, nawasilisha.
Mf. niliajiliwa kama mwalimu nina miaka 8 kazini na nimejiendeleza kwenye evening class nikafikia vigezo vya kusomea Udaktari MD,mwajiri yaani serikari atanilipia masomo?mshahara wangu wa ualimu nitaendelea kupata wakati ninasoma?nikimaliza masomo nitaomba kuajiliwa upya au nitaamishwa tu kwenda department nyingine?
Naomba msaada japo kidogo tu, nawasilisha.