Mwongozo wa JF: What should start Tume Huru ya Uchaguzi au Katiba?

Juzi nilisikiliza kongamano la katiba kwa NGOs wengi walidai muda hautoshi.Mimi nasema tukubali mchakato uendelee lakini tukomae na TUME HURU YA UCHAGUZI.Baada ya uchaguzi kama tutafanikiwa kuingiza madarakani watu makini tutapata muda wa kuwasimamia na kuwaambie tuandike tena upya hata kama gharama zitakuwa kubwa potelea mbali kwani tutakuwa;
  • TUMEZIKA UFISADI kwa kuweka serikali mpya,
  • Mapato yataongezeka na hivyo kuwa na ziada itakayotufanya kuandika katiba kwa utaratibu unaofaa pasiba kukimbizana kama sasa
  • Tutakuwa tumepata serikali sikivu na yenye kujali kuliko kuendelea na nyinyiem

Nawashauri tusikate tamaa, tujiandae kuikubali katiba japo hata ikiwa nzuri kwa 75% yatosha ili mradi kieleweke kuhusu TUME HURU YA UCHAGUZI.CCM kwa sasa wamegundua kuwa huenda JAJI WARIOBA AKAFANYA KWELI KUTOKANA NA SHINIKIZO LA NGUVU YA UMMA.

Maoni yangu hayo, lete yako tujenge
 
Kutokana na kutokuwa na uhakika wa kukubalika kwa KATIBA inayoratibiwa na tume ya Warioba,kuna haja ya kuishinikiza serikali ya CCM kupitia kwa wabunge wa upinzani ili ipatikane tume huru ya uchaguzi.Hii inatokana na kuwa mchakato mzima umetekwa na CCM,hasa ukitilia maanani kuwa bunge la KATIBA lina wabunge wengi wa CCM.Kunaweza kuwa na kila uwezekano wa Watanzania kuikataa RASIMU YA KATIBA HIYO.
 
Wote tumeshuhudia zoezi la uandikishwaji wa wapiga kura lilokuwa na kasoro nyingi.Matokeo ya matatizo haya ilikuwa ni wapiga kura wengi kutokuandikishwa kwenye daftari la wapiga kura na hatimaye kunyimwa haki yao ya msingi ya kupiga kura.

Mbaya zaidi tulishuhudia mashine za BVR zikikamatwa kwenye makazi ya raia,tukio lililo ashiria maandalizi wazi ya wizi wa kura.
Tulishuhudia pia campaign za aibu na za kuchefua zilizoambatana na matusi,vijembe na kejeli.Katika hali ya kushangaza,hatukusikia tume ya Uchaguzi ikitoa tamko kukemea tabia hizo mbaya kwenye jamii yetu.

Tulishuhudia pia kuchomwa kwa masanduku ya kura,kuchanwa kwa karatasi za kura,wasimamizi wa uchaguzi kutoweka na maboksi ya kura na kucheleweshwa kwa matokeo bila sababu za msingi, kitendo kinacho ashiria kusudio la kubadilisha matokeo.Katika hali ya kushangaza pia, hatukusikia tume ikitoa tamko la kukemea vitendo hivyo viovu ambavyo vingeweza kuleta uvujifu wa amani katika nchi yetu.

Upo msemo wa Kiswahili usemao "Zimwi likujualo halikuli lika kwishwa." Msemo huu ni kweli kwa tume ya Uchaguzi,CCM na serikali yake.Viongozi wote wa tume ni watumishi wa serikali.Katika mazingira haya haiwezekani kabisa tume kuiwajibisha CCM na Serikali yake, na hili ndilo lengo kuu.CCM na serikali yake wakilijua hili, wamekuwa wakitenda vitendo vingi katika zoezi la uchaguzi vinavyo ashiria ufunjifu wa amani.Katika hali hii kama taifa llisipo kuwa makini,tunaweza kuingizwa katika matatizo makubwa.

Kwa makusudi kabisa ni lazima tubadilishe mtizamo wetu.Katika chaguzi zijazo,taifa letu ni lazima likusudie kuwa na tume huru ili kuepuka uwezekano wa kuleta machafuko katika nchi yetu.

Uchaguzi ulio huru na haki unaweza kuwepo tu kama kuna tume huru.Tukumbuke kwamba pasipo na haki hapana amani.
 
Ndani ya fisiem usitegemee jipya hapo mwendo na ule ule hakuna real democracy in Africa. May be alternative nyingine
 
Si mlisema mmechukua wataalamu na ma chizi ya kuiba kura yawasaidie? na bado mpaka muombe pooo
 
Ukiona Nagu Waziri miaka 20 full cabinet minister anakutwa na maboksi lukuki na NEC wanakaa kimya ujue wanashiriki. Ccm wamejuaje nembo na design ya karatasi za kura? Tena zina mihuri ya NEC official ccm wametoa wapi kama NEC hawajawapa?

Pili NEC karatasi za matokeo hazijajazwa ccm wanazo tena zimegongwa mihuri.
 
Tume huru ya uchaguzi ndo muarobaini. Bila hivyo kazi bure.

Kutokana na kutokuwa na uhakika wa kukubalika kwa KATIBA inayoratibiwa na tume ya Warioba,kuna haja ya kuishinikiza serikali ya CCM kupitia kwa wabunge wa upinzani ili ipatikane tume huru ya uchaguzi.Hii inatokana na kuwa mchakato mzima umetekwa na CCM,hasa ukitilia maanani kuwa bunge la KATIBA lina wabunge wengi wa CCM.Kunaweza kuwa na kila uwezekano wa Watanzania kuikataa RASIMU YA KATIBA HIYO.

Juzi nilisikiliza kongamano la katiba kwa NGOs wengi walidai muda hautoshi.Mimi nasema tukubali mchakato uendelee lakini tukomae na TUME HURU YA UCHAGUZI.Baada ya uchaguzi kama tutafanikiwa kuingiza madarakani watu makini tutapata muda wa kuwasimamia na kuwaambie tuandike tena upya hata kama gharama zitakuwa kubwa potelea mbali kwani tutakuwa;
  • TUMEZIKA UFISADI kwa kuweka serikali mpya,
  • Mapato yataongezeka na hivyo kuwa na ziada itakayotufanya kuandika katiba kwa utaratibu unaofaa pasiba kukimbizana kama sasa
  • Tutakuwa tumepata serikali sikivu na yenye kujali kuliko kuendelea na nyinyiem

Nawashauri tusikate tamaa, tujiandae kuikubali katiba japo hata ikiwa nzuri kwa 75% yatosha ili mradi kieleweke kuhusu TUME HURU YA UCHAGUZI.CCM kwa sasa wamegundua kuwa huenda JAJI WARIOBA AKAFANYA KWELI KUTOKANA NA SHINIKIZO LA NGUVU YA UMMA.

Maoni yangu hayo, lete yako tujenge

asanteni wakuu

Katiba ambayo kila kitu kitakuwemo

CCM watakuwa wajinga sana kukubali hili


ndio vita ya kuanzia hiyo! uzuri wake ni kuwa iko simple, clear, na inaelweka kwa kila mwananchi!
 
Ee Mwenyezi Mungu tuhurumie safari hii tu, maana tumejikoroga sana, kiasi cha kujikuta tunaingia kwenye uchaguzi mkuu bila ya kuwa na tume huru ya uchaguzi; ilihali tuliona wenzetu jilani wakiumia kwa sababu hiyo!!

Ndugu zangu huu ni mtego unaosubiri kufyatuka wakati wowote! La muhimu kwetu ni kuhakikisha baada ya uchaguzi huu tunaanza mchakato wa kuutegua mapema kabla haujaleta madhara yoyote!!

Mwenya macho ya kuonea haambiwi tazama .
 
Kama mlivyoshuhudia, ripoti chache ya umoja wa Ulaya, wamepongeza, lakini, wametoa kasoro kwa tume, kwamba inajifungia mno na watu hawaoni namna matokeo yanavyojumlishwa, kwa kweli wabunge mliofaninikiwa wa upinzani, naomba mjitahidi kuhakikisha tunapata tume huru ya uchaguzi.

Hapa mambo yatakuwa sawa, lakini tume kama hii, msitegemee, mambo yaende vizuri huku mkiwa mmelala nyumbani, angalia wabunge wa upinzani wanavyoshinda kwa shida, watu hawalali siku tatu, halafu gari ya STK inakamatwa Mbeya na kura, zilizopigwa, tume wala haina habari, inaendelea tu kusema, Jimbo la mkunazini, Dr Magufuli kapata kura....., huko kanda ya ziwa kura zimekutwa zimetupwa kwa wanafunzi wa kidato cha sita, huku zimetikiwa, tunajifanya kama hatuoni.
 
Kwani mkuu tume taifani wanajifungia vipi ikiwa wao wanapokea tu toka majimboni na kutangaza? nani anajumlisha ayo matokeo?
 
Mlipokuwa mnazungusha mikono lowassa Mabadilikoooo, mlikuwa hamjui tume ipi? Acheni sababu za kitoto kubalini kuwa mmenyooshwa tu
 
Wote tumeshuhudia zoezi la uandikishwaji wa wapiga kura lilokuwa na kasoro nyingi.Matokeo ya matatizo haya ilikuwa ni wapiga kura wengi kutokuandikishwa kwenye daftari la wapiga kura na hatimaye kunyimwa haki yao ya msingi ya kupiga kura.

Mbaya zaidi tulishuhudia mashine za BVR zikikamatwa kwenye makazi ya raia,tukio lililo ashiria maandalizi wazi ya wizi wa kura.
Tulishuhudia pia campaign za aibu na za kuchefua zilizoambatana na matusi,vijembe na kejeli.Katika hali ya kushangaza,hatukusikia tume ya Uchaguzi ikitoa tamko kukemea tabia hizo mbaya kwenye jamii yetu.

Tulishuhudia pia kuchomwa kwa masanduku ya kura,kuchanwa kwa karatasi za kura,wasimamizi wa uchaguzi kutoweka na maboksi ya kura na kucheleweshwa kwa matokeo bila sababu za msingi, kitendo kinacho ashiria kusudio la kubadilisha matokeo.Katika hali ya kushangaza pia, hatukusikia tume ikitoa tamko la kukemea vitendo hivyo viovu ambavyo vingeweza kuleta uvujifu wa amani katika nchi yetu.

Upo msemo wa Kiswahili usemao "Zimwi likujualo halikuli lika kwishwa." Msemo huu ni kweli kwa tume ya Uchaguzi,CCM na serikali yake.Viongozi wote wa tume ni watumishi wa serikali.Katika mazingira haya haiwezekani kabisa tume kuiwajibisha CCM na Serikali yake, na hili ndilo lengo kuu.CCM na serikali yake wakilijua hili, wamekuwa wakitenda vitendo vingi katika zoezi la uchaguzi vinavyo ashiria ufunjifu wa amani.Katika hali hii kama taifa llisipo kuwa makini,tunaweza kuingizwa katika matatizo makubwa.

Kwa makusudi kabisa ni lazima tubadilishe mtizamo wetu.Katika chaguzi zijazo,taifa letu ni lazima likusudie kuwa na tume huru ili kuepuka uwezekano wa kuleta machafuko katika nchi yetu.

Uchaguzi ulio huru na haki unaweza kuwepo tu kama kuna tume huru.Tukumbuke kwamba pasipo na haki hapana amani.

Ilikuwa 2010,2015 na sasa 2019


Kuna mtu ana nguvu ya kujadili au kufutilia uchaguzi bila tume huru

Au taifa zima tumekuwa mazezeta kudhania kutakuwa na fair play?
 
Back
Top Bottom