Mwongozo wa JF: What should start Tume Huru ya Uchaguzi au Katiba?

Wakuu,ninakerwa sana na umasikini na ukosefu wa ajira uliopo kwa sasa.Hali hii itaondoka kwa kubadilisha mfumo mzima wa uongozi na utawala.Swali mfumo wa uongozi na utawala utaondokaje bila kua na Tume Huru ya Uchaguzi?Tume ya sasa,inaongozwa na mtaafu ambaye maisha ameshayapita,pia ameteuliwa na kiongozi wa chama tawala.Wakurugenzi wa wilaya,maafisa watendaji wa wilaya wa chama tawala ndio pia husimamia chaguzi zetu Tanzania.Tumeahidiwa draft ya katiba mpya 2014,muda hautatosha kuipitisha kwa kura za maoni na kuitumia 2015.Haitawezekana kua na chaguzi huru na haki wakati tume imechaguliwa na chama kimojawapo.Ni sawa na timu ya mpira,uwanya wako,refa wako halafu ushindwe mechi,sii rahisi.Wengi tunawaza na kuongea kishabiki sana ooh 2015 CCM kwisha,lakini kauli hizi hazitawezekana bila kuwa na Tume Huru
 
Wakuu,ninakerwa sana na umasikini na ukosefu wa ajira uliopo kwa sasa.Hali hii itaondoka kwa kubadilisha mfumo mzima wa uongozi na utawala.Swali mfumo wa uongozi na utawala utaondokaje bila kua na Tume Huru ya Uchaguzi?Tume ya sasa,inaongozwa na mtaafu ambaye maisha ameshayapita,pia ameteuliwa na kiongozi wa chama tawala.Wakurugenzi wa wilaya,maafisa watendaji wa wilaya wa chama tawala ndio pia husimamia chaguzi zetu Tanzania.Tumeahidiwa draft ya katiba mpya 2014,muda hautatosha kuipitisha kwa kura za maoni na kuitumia 2015.Haitawezekana kua na chaguzi huru na haki wakati tume imechaguliwa na chama kimojawapo.Ni sawa na timu ya mpira,uwanya wako,refa wako halafu ushindwe mechi,sii rahisi.Wengi tunawaza na kuongea kishabiki sana ooh 2015 CCM kwisha,lakini kauli hizi hazitawezekana bila kuwa na Tume Huru

Ni kweli usemayo! So, kwa mtazamo wako nini kifanyike?

 
Katiba mpya ni kitendawili na hata ikipatikana chini ya CCM itakuwa na manufaa kwao tu.Tupiganie tume huru ya uchaguzi na pia taasisi huru ya kupambana na Rushwa kabla ya uchaguzi mkuu
 
mkuuu usiwe na wasiwasi kama 2me mya ya uchaguzi itakuwepo hata kwa upanga kwa upanga ngume kwa ngume kisu kwa kisu
 
Katiba mpya ni kitendawili na hata ikipatikana chini ya CCM itakuwa na manufaa kwao tu.Tupiganie tume huru ya uchaguzi na pia taasisi huru ya kupambana na Rushwa kabla ya uchaguzi mkuu

naunga hoja mkono mkuuu umeona mbali
 
Ni kweli, bila tume ya uchaguzi Huru bhaaasiiii.

Mie sina imani kama hii katiba itakamilika kabla ya uchaguzi mkuu 2015.

Pia mambo yanazidi kuharibika bila tume huru. Hizi chaguzi ndogo za udiwani na ubunge mambo ovyoooo

Tume hii inayumbishwa na chama cha mafisadi.

Viongozi wa vyama vya upinzani wapige kelele ili tume huru iundwe. Tume Huru ishirikishe wanaharakati, wawakilishi wa vyama.

Hii tume ya akina Warioba hawatamaliza kazi kabla ya uchaguzi 2015, na wanatengeneza mwanya wa kumuongezea Vasco Da Gama muda wa kutawala hadi 2017.
 
Wakuu,ninakerwa sana na umasikini na ukosefu wa ajira uliopo kwa sasa.Hali hii itaondoka kwa kubadilisha mfumo mzima wa uongozi na utawala.Swali mfumo wa uongozi na utawala utaondokaje bila kua na Tume Huru ya Uchaguzi?Tume ya sasa,inaongozwa na mtaafu ambaye maisha ameshayapita,pia ameteuliwa na kiongozi wa chama tawala.Wakurugenzi wa wilaya,maafisa watendaji wa wilaya wa chama tawala ndio pia husimamia chaguzi zetu Tanzania.Tumeahidiwa draft ya katiba mpya 2014,muda hautatosha kuipitisha kwa kura za maoni na kuitumia 2015.Haitawezekana kua na chaguzi huru na haki wakati tume imechaguliwa na chama kimojawapo.Ni sawa na timu ya mpira,uwanya wako,refa wako halafu ushindwe mechi,sii rahisi.Wengi tunawaza na kuongea kishabiki sana ooh 2015 CCM kwisha,lakini kauli hizi hazitawezekana bila kuwa na Tume Huru

msidharau nguvu ya umma, je mnakumbuka nn kilitokea Misri, Libya, Tunisia na kile kinachoendelea syria na kwingineko duniani. wasipoleta haki amani haitakuwepo na ccm itaondolewa hata kwa mtutu wa bunduki. hii ndiyo kanuni ambayo huwa haibadiliki

tuombe mungu wapigwe upofu, ushindi apewe upinzani , tupige kura na kulinda kura tutashinda

mbona 2010 walishindwa pamoja na tume kuwa yao bila Shimbo/jwtz kuwatisha watu then ccm ilikuwa bye bye
 
Can somebody clearly define what is tume huru! tusijeropoka tu kadiri siku zinavyoenda.
 
Katiba mpya ni kitendawili na hata ikipatikana chini ya CCM itakuwa na manufaa kwao tu.Tupiganie tume huru ya uchaguzi na pia taasisi huru ya kupambana na Rushwa kabla ya uchaguzi mkuu

yes TAKUKURU ni taasis ya serikali so hawawezi kuwakemea watu waliowaweka madarakani...tunahitaji tue na tume huru ya kuchunguza na kupambana na rushwa ambayo haifadhiliwi wala kusimamiwa na serikali au chama
 
Bila tume huru lazima pachimbike, haiwezekani tuangalie wanachakachua kura hivi hivi tu.
 
Tume huru ya uchaguzi ni kitu muhimi sana,nashauri CHADEMA na vyama vyote vya upinzani wasimamie kwa nguvu suala hili yaani hata kama maoni ya wananchi yata pinga kuwa na tume huru ya uchaguzi basi vyama upinzani vitumie njia nyingine mbadala kuhakikisha tunakua na tume huru kabla ya uchaguzi 2015
 
Ni kama tunacheza "hiki na hoko"; mbona haja ya tume huru ya uchaguzi inajulikana tangu 1992 na watu wameendelea kwenda kwenye chaguzi zile zile na hata keshokutwa watu watashiriki uchaguzi chini ya tume ile ile?
 
Wakuu,ninakerwa sana na umasikini na ukosefu wa ajira uliopo kwa sasa.Hali hii itaondoka kwa kubadilisha mfumo mzima wa uongozi na utawala.Swali mfumo wa uongozi na utawala utaondokaje bila kua na Tume Huru ya Uchaguzi?Tume ya sasa,inaongozwa na mtaafu ambaye maisha ameshayapita,pia ameteuliwa na kiongozi wa chama tawala.Wakurugenzi wa wilaya,maafisa watendaji wa wilaya wa chama tawala ndio pia husimamia chaguzi zetu Tanzania.Tumeahidiwa draft ya katiba mpya 2014,muda hautatosha kuipitisha kwa kura za maoni na kuitumia 2015.Haitawezekana kua na chaguzi huru na haki wakati tume imechaguliwa na chama kimojawapo.Ni sawa na timu ya mpira,uwanya wako,refa wako halafu ushindwe mechi,sii rahisi.Wengi tunawaza na kuongea kishabiki sana ooh 2015 CCM kwisha,lakini kauli hizi hazitawezekana bila kuwa na Tume Huru

Nguvu ya umma haitegemei tume huru! Wananchi wakiamua kuiondoa CCM itang'oka kuwe na tume huru au la.
Kama imewezekana kushinda baadhi ya majimbo chini ya tume hii hii na wasimamizi wale wale usidhani kuna kisichowezekana. Siku ikifika CCM itang'oka na hata wao watapigwa butwaa. Cha msingi wajitahidi kujenga mazingira ambayo hata wakiondoka madarakani na wao watabaki salama. Vinginevyo waking'olewa kwa nguvu baada ya kushindwa na kung'ang'ania madarakani pamoja na kwamba watu wengi wanaweza kufa kama watasababisha haya wanajua na wao hawatabaki salama
 
Pia kwa serikali sikivu, swala la tume huru linaweza kujadiliwa na kurekebishwa bila kusubiri katiba mpya.
 
Inabidi wapinzani, hasa CDM wajiandae kuhakikisha Tume huru ya uchaguzi, na inabidi CCM wajiandae kukubali Tume huru itayokubaliwa na vyama vyote.
Vinginevyo sioni uchaguzi wa amani 2015, nimejawa hofu juu ya damu itakayomwagika kwa sababu tu ya Tume huru ya uchaguzi.
 
Ni kama tunacheza "hiki na hoko"; mbona haja ya tume huru ya uchaguzi inajulikana tangu 1992 na watu wameendelea kwenda kwenye chaguzi zile zile na hata keshokutwa watu watashiriki uchaguzi chini ya tume ile ile?

Mwanakijiji,
Hili ndiyo tatizo.Tukisema tuitegemee new constitution itakua 'sheer fantasy'

We should use every resources at our disposal kudai IEC na Independent Ant- corruption bureau.Tukifanikiwa hayo before 2014,basi kabla bunge halijaisha utakua msingi mzuri wa kudai intergrity bill na kutokana na moods za muda huo haitakwama.

New constitution hata kama itakuwepo it wont be there in favour of the populace's interest.Tricky affair!
Upinzani tuchukue firm stance kuhisiana na hili
 
Can somebody clearly define what is tume huru! tusijeropoka tu kadiri siku zinavyoenda.

Tume isiyofuata matakwa ya chama tawala.Tume iliyo tayari kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia maslahi ya nchi kwa kufuata haki na kuheshimu misingi ya kidemokrasia bila kuingiliwa na mtu au taasisi katika utendaji wao.Ni lazima ihusishe watu wenye intergrity morally and professionally na wakubalike na vyama vyote na haki ya wasio na vyama pia ilindwe
 
Wak.Swali mfumo wa uongozi na utawala utaondokaje bila kua na Tume Huru ya Uchaguzi?..Tumeahidiwa draft ya katiba mpya 2014,muda hautatosha kuipitisha kwa kura za maoni na kuitumia 2015.Haitawezekana kua na chaguzi huru na haki wakati tume imechaguliwa na chama kimojawapo.Ni sawa na timu ya mpira,uwanya wako,refa wako halafu ushindwe mechi,sii rahisi.Wengi tunawaza na kuongea kishabiki sana ooh 2015 CCM kwisha,lakini kauli hizi hazitawezekana bila kuwa na Tume Huru
Hili limeshasemwa sana.
Inaonekana CHADEMA na CUF ambavyo ndio vyama vinakosesha usingizi CCM havijaona "kiini macho cha katiba mpya".

Kwa asilimia 99.9 Katiba mpya haitokuwa tayari ifikapo 2015.Na hata ikiwa tayari itakuwa ni katiba ya" CCM" kama iliyopo leo lakini itapakwa rangi ya mdomo tu ili ivutie.

Vyama hivi vya upinzani;CHADEMA;CUF,UDP na NCCR vimeshaingia katika uchaguzi mkuu mara mbili kwa uchache huku wakijua kuwa Tume ya Uchaguzi ni tume ya kuisimika CCM kundelea "kuleta maisha bora kwa kila mtanzania".

Kama CHADEMA wameridhika na M4C pekee bila Tume huru ya uchaguzi, 2015 baada ya "kuchakachuliwa" wasije wakaleta zile za 2010. Pia CUF wakifikiri kuingia katika serikali kule Zanzibar ndio dalili ya kufanya vyema 2015 bila ya Tume huru ya uchaguzi na wenyewe wasije kuleta zile za 2010.

CHADEMA na CUF, wakishirikiana na vyama vyengine vya upinzani,NCCR,UDP ni lazima wapange mkakati wa kuleta Tume huru ya uchaguzi kabla 2014. Wakishindwa katika hili basi wao pia pamoja na CCM watakuwa wa kubeba lawama kwa "vurugu" zitakazotokea 2015.

CCM haitakubali kwa urahisi kuona kuna mizani sawia katika uwanja wa siasa, ikiwa pamoja na tume huru ya uchaguzi au kuacha utegemezi wa vyombo vya dola.

Haya wanapaswa kuyasimamia sasa na ifikapo mwisho wa 2013.wawe wamepata kurekebisha sheria zinazoongoza mwenendo wa vyombo vyetu vya usalama wa raia, usalama,polisi na tume ya uchaguzi. Pia kuwe kuna vipengele vya kuvichukulia hatua za kisheria vyombo hivyo,au watendaji wakuu wa vyombo hivyo pale wanapokiuka sheria za kiutendaji wa vyombo hivyo.
Ili kuwezekana hilo, pia vyama hivi vishirikiane( kupeleka miswada) kuandaa sheria na mazingira kuhakikisha mahakama nazo zinakuwa ni vyombo huru.

Kuna mdau ametaja umuhimu wa tume ya kuzuia rushwa iliyo huru pia.

Haya ni maangalizo ambayo yameshasemwa sana kwa kutegemea wenye masikio watasikia na watendaji watatenda lakini haionekani kuwa wanasiasa wetu wana nia ya kweli kuleta mageuzi ya mfumo wa kiutawala na kiutendaji ili ndoto ya maisha bora kwa kila mtanzania ipatikane na Tanzania yenye neema ipatikane ili kuwarithisha vizazi vyetu nchi yenye kupiga hatua kwenda mbele na sio kurudi nyuma.

Kuwaelimisha wananchi kuichukia CCM kwa kutugawia umaskini pekee haitoshi.Hilo liende sambamba na kugeuza mfumo wa chama dola kwa kuziba mianya ya kisheria na kuongeza adhabu ya ukiukaji wa sheria hizo(hili litahitaji kurekebisha au kubadilisha sheria husika). Tukikaa na kungojea kuwa katiba mpya ndio dawa ya matatizo yote,(kwa jinsi ya Tume ya Warioba inavyofanya kazi) basi tujitayarishe kufa kwa kupata shindikizo la damu au mshituko wa moyo.

Angalizo. Tume ya Warioba si tume ya kwanza kuundwa katika kutaka kuboresha Katiba na mfumo wa utawala Tanzania. Nini matokeo ya Tume zilizointangulia hii ya Warioba. Je Mapendekezo ya tume hizo yalifanyiwa kazi?
Kila mtu atakuwa analo jibu la suali hilo.
 
Bila tume huru lazima pachimbike, haiwezekani tuangalie wanachakachua kura hivi hivi tu.
Tukiamua kufikia hatua hiyo ya kuchimba,mashimo tutakayochimba yatakuwa mengi na yatachukua muda mrefu kuyafukia.
Makovu yake yatabaki kwa miongo kadhaa.

Kinga ni bora. Wananchi na Vyama vya upinzani vinaweza kuisaidia CCM kuweka maslahi ya nchi mbele. Vyama vinaweza kufa lakini nchi itakuwepo.

Kuna umuhimu wa kuunda kamati au tume ya vyama vyote vya siasa (VYOTE kikiwemo CCM) na kuweka /kuchanganua maslahi ya Taifa na vipi kuyafikia na kuyalinda.

Katika hili tayari Tanzania inao mfano wa kuiga. Tume ya muafaka ya CCM na CUF juu ya hatima ya Zanzibar. Misingi ya maslahi ya Zanzibar waliiweka, ingawaje CCM kwa kulewa "Uzee/ ukubwa" wa miaka mingi bila mpinzani katika siasa za Tanzania wanajaribu inapowezekana kuuchakachua muafaka huo. CCM huwa wanajisahau au wanatawaliwa na hofu ya kunyang'anywa usukani,wanatanguliza Uchama mbele.

Ni vizuri kwa vyama vya upinzani kuwakumbusha CCM kuwa hawana haki miliki pekee ya kuongoza/kutawala Tanzania na maslahi ya taifa ni muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama/kichama.
 
Back
Top Bottom