M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,737
- 405
Mtoto huyo ambae yupo nchini India, Twinkle Dwivedi, mwenye umri wa miaka 14,hutoka damu hiyo kwenye ngozi bila hata kukatwa.Mtoto huyu anatoa damu machoni,puani,shingoni,na kwenye ngozi amewaacha madaktari wasijue lakufanya
Twinkle Dwivedi, ameongezewa damu mara kadhaa baada ya kutoka damu mara 50 kila siku.Mtoto huyo anasema damu inapotoka haiumi ila anakuwa anachoka sana na kichwa kuuma sana .soma zaidi hapa ....http://www.dailymail.co.uk/news/wor...l-cries-blood-bleeds-pores.html#ixzz0cV7871yR
Twinkle Dwivedi, ameongezewa damu mara kadhaa baada ya kutoka damu mara 50 kila siku.Mtoto huyo anasema damu inapotoka haiumi ila anakuwa anachoka sana na kichwa kuuma sana .soma zaidi hapa ....http://www.dailymail.co.uk/news/wor...l-cries-blood-bleeds-pores.html#ixzz0cV7871yR