Hivi wana umme wenye (Kibinda)Wapenzi wao ujisikiaje katika jamii??
A.K.A wowo!!
:doh:Weeeeeeeeeeee hii sura yakuwa na wowo??uogopi kuniuliza hivi??nikimbizwa na polisi nitakimbiaje??maana mimi sikuzote wabaya wangu polisi!!!:smile-big:Mkuu unacho! Wanatamani wawe wahindi
Preta, sinasikia mnasema ati zile muscles ni mali ati anasukuma mpaka unajisikia uko dunia nyingine ...........au ni uongo :smile:kuna mmoja namjua....weee acha tu.
Preta, sinasikia mnasema ati zile muscles ni mali ati anasukuma mpaka unajisikia uko dunia nyingine ...........au ni uongo :smile:
Yukoje??ukikuta anaoga bafu ya magunia na kakupa mgongo unaweza kuzubaa unakula chabo!!
:nono:......mwanaume kifua ndugu
mimi mdundiko na mwanaume awe tena mdundiko si tutakuwa mzigo wa fujo hapo kwa bed
Wewe una-miss out, wenzio wakiangalia migongo ya hawa wachezaji wa American Football
Wanalowa unashanga demu anakuemea kalegea kumbe keshamaliza ……….. hahahh ...na mwingine huyu hapa ........
http://comps.fotosearch.com/comp/IST/IST509/football-player-wearing_~9140-144.jpg
Nakwambi ukipenda basi tu ................. ivi na wewe huwa unavaaga za ubani ......:thinking:huyo kaamua kuvaa kivazi cha mkewe.......kipenzi :smile-big: