Safi sana, wanafunzi wababe hawawezi kumteka.Huu ndio mwonekano, ofisi ya walimu wa shule ya msingi Kisaula kijiji cha Mbongo kata ya Manda wilayani Ludewa mkoani Njombe inayotumiwa na walimu watatu kati ya wanne wa shule hiyo yenye wanafunzi 94 ikiwa na zana za kufundishia.
View attachment 1953321
Kazi iendelee. Haya ndio matumizi ya tozo zenu wadanganyika.Huu ndio mwonekano, ofisi ya walimu wa shule ya msingi Kisaula kijiji cha Mbongo kata ya Manda wilayani Ludewa mkoani Njombe inayotumiwa na walimu watatu kati ya wanne wa shule hiyo yenye wanafunzi 94 ikiwa na zana za kufundishia.
View attachment 1953321
Mkuu, umenipa tabasamu la asubuhi asubuhi 😂😂😂Safi sana, wanafunzi wababe hawawezi kumteka.
Jitume kwenye tozo ndg, usifikir imebumbwa hyo ndyo Hali halisi, na mbunge analijua hlotuthibitishie kwanza!
Walimu hao watatu wanatumia hiyo meza moja? Wanasimama? Bango linalotambulisha ofisi hiyo lipo wapi? Imejengwa na nani ofisi hiyo? Umesema imekamilika, hebu tuonyeshe taarifa ya mkuu wa shule/mkandarasi/serikali ya kijijj ya kukabidhi jingo hilo! Halafu tuendelee na mjadala baada ya hapo.
Utadhan pre stone age morgueHuu ndio mwonekano, ofisi ya walimu wa shule ya msingi Kisaula kijiji cha Mbongo kata ya Manda wilayani Ludewa mkoani Njombe inayotumiwa na walimu watatu kati ya wanne wa shule hiyo yenye wanafunzi 94 ikiwa na zana za kufundishia.
View attachment 1953321
Walimu wanadharauliwa Sana ,kwanza unakuta ofisi zao mbaya afu ziko kwenye jengo moja na madarasaHuu ndio mwonekano, ofisi ya walimu wa shule ya msingi Kisaula kijiji cha Mbongo kata ya Manda wilayani Ludewa mkoani Njombe inayotumiwa na walimu watatu kati ya wanne wa shule hiyo yenye wanafunzi 94 ikiwa na zana za kufundishia.
View attachment 1953321
Kuna DiwaniHuu ndio mwonekano, ofisi ya walimu wa shule ya msingi Kisaula kijiji cha Mbongo kata ya Manda wilayani Ludewa mkoani Njombe inayotumiwa na walimu watatu kati ya wanne wa shule hiyo yenye wanafunzi 94 ikiwa na zana za kufundishia.
View attachment 1953321
Jengo limesimamiwa na mwalimu mkuu.Walimu wanadharauliwa Sana ,kwanza unakuta ofisi zao mbaya afu ziko kwenye jengo moja na madarasa
Umeniacha hoi! 🤣Safi sana, wanafunzi wababe hawawezi kumteka.
Mtoa mada hakujua kuwa humu kuna Thinkers, vilaza na bora liende. Msamehe bure. Please wale mnaoleta mada zenu kama siyo kwenye udaku inabidi mzitafakari na kujua kuwa humu hata hao mnaowasema na kuwananga wamo. Be specific with concrete evidences.tuthibitishie kwanza!
Walimu hao watatu wanatumia hiyo meza moja? Wanasimama? Bango linalotambulisha ofisi hiyo lipo wapi? Imejengwa na nani ofisi hiyo? Umesema imekamilika, hebu tuonyeshe taarifa ya mkuu wa shule/mkandarasi/serikali ya kijijj ya kukabidhi jingo hilo! Halafu tuendelee na mjadala baada ya hapo.
CCM oyeeee, halafu mseme ualimu ni wito, muwakataze wasijiongezee kipato, na wasilime hata vibustani vyao nyumbaniHuu ndio mwonekano, ofisi ya walimu wa shule ya msingi Kisaula kijiji cha Mbongo kata ya Manda wilayani Ludewa mkoani Njombe inayotumiwa na walimu watatu kati ya wanne wa shule hiyo yenye wanafunzi 94 ikiwa na zana za kufundishia.
View attachment 1953321
Narudia Tena, lipia Tozo kwa ustawi wa nchi yko, ili kuwasaidia wanaofanya kazi katika mazingira magumu ya namna hii, kwani hili Ni geni kwa Tanzania hii??!Mtoa mada hakujua kuwa humu kuna Thinkers, vilaza na bora liende. Msamehe bure. Please wale mnaoleta mada zenu kama siyo kwenye udaku inabidi mzitafakari na kujua kuwa humu hata hao mnaowasema na kuwananga wamo. Be specific with concrete evidences.