Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,335
- 3,652
- Thread starter
- #41
Sasa hapo unamwona wa kawaida labda hana mizinguo ya hapa na pale,akiwa na mizinguo haki nakwambia tena unaanza kumwona kama ng'ombe au mbuzi tu anakosa mvuto kabisaaaHii kwangu ina apply sana maana najijua. Hata nipewe mwanamke malaika na umbo zuri kiasi gani nikishambabua wiki moja tu naanza kumwona wa kawaida.
Lakini kuwa wale wanawake au wanaume ambao labda hawana mwonekano mzuri sana au hawana mwonekano mzuri kabisa wakipata nafasi ya kuweza kuingia kweny Maisha yako,kamwe hutowahi kujutia kuwaruhusu wawe sehemu ya Maisha yako,inafikia mahali unaona kabisa Maisha bila wao hayana maana, huo ni uhalisia ambao wengi wetu hatutaki kuukubali kwa kutanguliza mwonekano Zaidi ya mambo mengine ya msingi.