Mwnasheria mkuu wa serikali kasoma wapi?,kuna mtz bado ataipa kual ccm 2015

RUV ACTVIST.

JF-Expert Member
Jan 14, 2012
472
110
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/Sitaki kuamini kama kuna mtz bado anaweza kuwa na imani na serikali, sitaki kuamini kama mtumishi wa serikali anaweza kuendelea kuwa na imani na watendaji wa serikali hii, sitaki kuamini kama mwanasheria mkuu wa serikali alisoma sheria,hivi kama serikali yako inakunyima nafasi ya kujielimisha kwa kukunyima mkopo bado utaipenda, kama inamnyima nafasi mtoto wako aliyesoma shule ya kata kule songea vijijini eti kwa sababu ana daraja la tatu bila kujari huyo aliyepata daraja la kwanza kasoma katk mazingira gani bado utaipenda? WATU WANAKUFA SERIKALI IPO KIMYA TU, KIKWETE ANAENDA KUFUNGUA BANK, UTAENDELEA KUIPA KULA CCM 2015? NANI BASI ATAIPA KULA?
 
itafika wakati hawa ccm kila mgombea atakuwa anapata kura yake pengine hata mke/mme wake atamnyima!
 
itafika wakati hawa ccm kila mgombea atakuwa anapata kura yake pengine hata mke/mme wake atamnyima!
Mkuu unanikumbusha kuna mwaka Cheyo Mapesa alichakachuliwa kwenye kura za Urais akakosa kura hata moja kwenye kituo ambacho familia yake ilipiga kura?
 
Sitaki kuamini kama kuna mtz bado anaweza kuwa na imani na serikali, sitaki kuamini kama mtumishi wa serikali anaweza kuendelea kuwa na imani na watendaji wa serikali hii, sitaki kuamini kama mwanasheria mkuu wa serikali alisoma sheria,hivi kama serikali yako inakunyima nafasi ya kujielimisha kwa kukunyima mkopo bado utaipenda, kama inamnyima nafasi mtoto wako aliyesoma shule ya kata kule songea vijijini eti kwa sababu ana daraja la tatu bila kujari huyo aliyepata daraja la kwanza kasoma katk mazingira gani bado utaipenda? WATU WANAKUFA SERIKALI IPO KIMYA TU, KIKWETE ANAENDA KUFUNGUA BANK, UTAENDELEA KUIPA KULA CCM 2015? NANI BASI ATAIPA KULA?

ulishasikia wapi mkurya akawa jaji? mkurya anaitwa fredrick?huyu alifoji vyeti tu manake hata anayavyoengea huwezi kuamini kama alisoma sheria
 
Back
Top Bottom