RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/Sitaki kuamini kama kuna mtz bado anaweza kuwa na imani na serikali, sitaki kuamini kama mtumishi wa serikali anaweza kuendelea kuwa na imani na watendaji wa serikali hii, sitaki kuamini kama mwanasheria mkuu wa serikali alisoma sheria,hivi kama serikali yako inakunyima nafasi ya kujielimisha kwa kukunyima mkopo bado utaipenda, kama inamnyima nafasi mtoto wako aliyesoma shule ya kata kule songea vijijini eti kwa sababu ana daraja la tatu bila kujari huyo aliyepata daraja la kwanza kasoma katk mazingira gani bado utaipenda? WATU WANAKUFA SERIKALI IPO KIMYA TU, KIKWETE ANAENDA KUFUNGUA BANK, UTAENDELEA KUIPA KULA CCM 2015? NANI BASI ATAIPA KULA?