kama kuna mtu anaweza kunifundisha namna ya kuhack (lengo langu niwe hacker) kwa muda wa mwezi mmoja nikafahamu vizuri tafadhari ni pm, ujuzi wangu kwa upande wa kompyuta ni just office applications
vip mkuu mwezi mmoja ni muda mfupi sana? maana tatizo kwangu ni nafasi mi ni mwajiriwa so nataka kipindi cha likizo ndo nijifunz