Mwl Nyerere:waziri UK kapatikana na tuhma ya ngono prime minister akamwambia juzulu!

SEGUZO

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
280
196
Nakumbuka kuna vedeo ya hutuba ya baba wa taifa akizugumzia umuhimu wa uwajibikaji na kuhusiana tukio la waziri mmoja wa UK, aliye tuhumiwa na Uhusiano wa kimapenzi na secretary wake ndio waziri mkuu akamlazimisha ajuuzulu.
Wakuu aneyeijua vizuri ishuu hiyo, atujuze kwa upana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom