Mwl. Nyerere wakati wa enzi zake akiwa ameng'atuka aliwahisema katika uchaguzi fulani wa kitaifa alipiga kura ya urais kwa mgombea wa CCM lakini kwa nafasi ya ubunge alimpigia mgombea wa upinzani. Hivi, jambo hili katika zama hizi za siasa uchwara (Rostam, 2009). Mwl. tungemweka kundi gani?
Msaliti? Mwanamakundi? Mchumia tumbo? Ndumilakuwili? Oil-chafu?
Tafadhali, ondoeni ushabiki. Jenga hoja unapochangia, wengi tuelimike
Msaliti? Mwanamakundi? Mchumia tumbo? Ndumilakuwili? Oil-chafu?
Tafadhali, ondoeni ushabiki. Jenga hoja unapochangia, wengi tuelimike