Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
DR SLAA NI POPO(ndumila kuwili mwenye kadi hai mbili za vyama viwili)!
Alitumia Demokrasia ya kupigia mtu anayemuona atasaidiana na wanachi katika kuleta maendeleo. Mwl. hakuwa katika mlengo wa UCCM bali maslahi ya taifa na wananchi wake. Kwangu sioni shida kwa DR Slaa. Kuwa na Kadi ya CCm kwani nani hajui kama aliwahi kuwa CCM na baadaye akaondoka kwa ufedhuri wa hao watu. Kadi ya shibuda na Mrema walisharudisha? Sambwe Shitambala naye alirudisha ya CDM?
Kwi!kwi! nimeshasahau jina lake. Lakini ukitafuta kumbukumbu za uchaguzi wa 1995 pale Musoma jina lake utalipata.Kaka hapo kwenye blue naomba kupatie jina la huyo mwizi aliyeangukia pua..! Teh teh teh, Nyerere alikuwa hamumunyi maneno. kwenye ufisadi