- Thread starter
- #21
Magezi, nakubaliana nawe. Lakini katika Africa kura za wananchi hazina mantiki yeyote. Mkwere atamuita Jaji Makame na atamuamuru atangaze kwamba yeye ndio mshindi wa Urais. Watajenga jukwaa haraka haraka pale magogoni na Jaji Augustino Ramadhani ataitwa kumwapisha. Ndio maana amesema hahitaji kura za wafanyakazi ifikapo mwezi October 2010. Tafakari tafadhali!
Mkuu hilo liko wazi kwani miaka yote wamefanya hivyo. Sasa kinyume na hapo labda vijana wetu pale ngerengere waingie msituni.