Mwl. JK Nyerere kuvaa nguo za rangi ya kijani zinachowakilisha chama alichokiasisi

Michael Bosco

Member
Jan 10, 2010
85
47
Suala hili limekuwa likiniumiza kichwa kwa kujiuliza kwanini Mwl JK Nyerere alikuwa havai nguo za rangi ya kijani kwa kuwa yeye ndiye mwasisi wa chama hicho kwani nimejiuliza alikuwa anawaza nini au alikuwa anatabiri tofauti na waasisi wenzake walikuwa wanavalia sare za chama. Ebu nisaidieni kama kuna mtu kawahi kuona swala kama hilo au kawahi kujiuliza ni kwanini. Nawasilisha hoja waheshimiwa wanajamii forum.
 
Nguo sio ishu kwani suala la mavazi limekuwa zaidi siku hizi. Unakumbuka lini chadema walianza kuvaa kombati, hata Bob hakuvaa kombati aka gwanda
 
Mimi nadhani Mwl J K Nyerere hakuwa muumini sana wa mavazi, eti uhalisia wa mtu unajikita katika kuvaa kwake, ndo maana hakuona umaana hasa wa kuvaa hiyo rangi ya chama. Falsafa ya chui kuvaa ngozi ya kondoo ili hali ndani ni chui nadhani ni moja ya vitu ambavyo Mwl hakuvitilia umuhimu.

Matendo ya mtu katika kuishi na jamii yake, nadhani ni muhimu sana. wangapi tumeona wanahubiri abc, lakini matendo yao ni tofauti na kile wakihubiricho. Kuna maana gani kuvaa (mwonekano wa nje) hizo rangi za vyama,ili matendo hayalingani ni uhalisia wa dhana ya nguo/rangi hizo???/!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom