mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,718
*TAARIFA*
Ofisi ya Warden pamoja na ofisi ya wanafunzi hall 7, tunapenda kuwajulisha kuwa leo tarehe 1 August 2017, amekamatwa mtu(mdada) anayesadikika kuhusika katika wizi wa PC hall 7 miezi michache iliyopita. Mwizi huyo amekamatwa akiwa ameshaiba PC 3 huko hall one.
Hivyo basi uongozi unapenda kuwajulisha kuwa, wale wote waliowahi kumuona maeneo ya hall 7, muwasiliane na Katibu hall 7 ili tuweze kufanya utambuzi na kuthibitisha kuwa ni yeye, hasa kwa wale ambao bado mpo Dar es salaam.
Tunaomba ushirikiano wenu tafadhali.
Ofisi ya Warden pamoja na ofisi ya wanafunzi hall 7, tunapenda kuwajulisha kuwa leo tarehe 1 August 2017, amekamatwa mtu(mdada) anayesadikika kuhusika katika wizi wa PC hall 7 miezi michache iliyopita. Mwizi huyo amekamatwa akiwa ameshaiba PC 3 huko hall one.
Hivyo basi uongozi unapenda kuwajulisha kuwa, wale wote waliowahi kumuona maeneo ya hall 7, muwasiliane na Katibu hall 7 ili tuweze kufanya utambuzi na kuthibitisha kuwa ni yeye, hasa kwa wale ambao bado mpo Dar es salaam.
Tunaomba ushirikiano wenu tafadhali.