Ni siku ya furaha mno kuona majizi ya nchi hii yameanza kukamatwa maana zamani yalikuwa yanaiba usiku sasa yanapora mchana kweupe. Ni ajabu cag pamoja na kulipwa vizuri, kusoma kwa kodi za wananchi anafanya ubabaishaji mpaka kamati ya bunge inakuja mfundisha kazi. Yaani mtu kalipwa 20000 lakini watu wanaongeza moja mwishoni inakuwa 120000. Pumb,,,f kabisa