Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,546
- 3,549
Pale ambapo Mwizi anaiba bila kujua anayemuibia ni mbobezi kwenye sayansi ya uchawi au ulozi
Basi bwana huyu wa huko nchini Uganda aliiba Subwoofa ya Mzee mmoja kwenye duka lakini katika hali ya kushangaza alipofika kwake alivamiwa na kundi la nyuki mwili mzima ambao hawakuondoka mpaka aliporudisha subwofa hiyo kwa mwenyewe
Jamaa analia kama nyau yani
Basi bwana huyu wa huko nchini Uganda aliiba Subwoofa ya Mzee mmoja kwenye duka lakini katika hali ya kushangaza alipofika kwake alivamiwa na kundi la nyuki mwili mzima ambao hawakuondoka mpaka aliporudisha subwofa hiyo kwa mwenyewe
Jamaa analia kama nyau yani