the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 774
- 571
Idara ya afya mlione hili, mwizi ambae alikamatwa na wananchi wa kata ya Kerenge kitongoji cha kilole wilaya Korogwe ambae alikutwa na vyandarua vya zahanati ya Kerenge ambayo ni Zahanati ya serikali yuko huru kwa dhamana na kesi haipelekwi mahakamani tangia tarehe 29/11/2019 mpaka leo hii.
Mkurugenzi wa wilaya pamoja na Mganga Mkuu wa Wilaya wanayo taarifa hiyo lakini hata wala hawana habari nalo na pengine wanashirikiana na Polisi na Diwani wa Kata ya Kerenge kulimaliza hili kimya kimya.
PLEASE IDARA HUSIKA MLIONE HILI, MH UMMY MWALIMU ULIONE HILI.
Mkurugenzi wa wilaya pamoja na Mganga Mkuu wa Wilaya wanayo taarifa hiyo lakini hata wala hawana habari nalo na pengine wanashirikiana na Polisi na Diwani wa Kata ya Kerenge kulimaliza hili kimya kimya.
PLEASE IDARA HUSIKA MLIONE HILI, MH UMMY MWALIMU ULIONE HILI.