rugumye JF-Expert Member Nov 1, 2010 561 178 Nov 4, 2010 #1 Jamani nisaidieni, mwizi wa kura za wananchi tena kwa mabomu wakati wa kuapishwa hushika nini mkononi? au wanamtania Mungu?
Jamani nisaidieni, mwizi wa kura za wananchi tena kwa mabomu wakati wa kuapishwa hushika nini mkononi? au wanamtania Mungu?
gillard JF-Expert Member Oct 15, 2010 227 165 Nov 4, 2010 #2 Duh hii kali aise mwenyewe nimetafakari nimekosea jibu ngoja tusubiri tuone !
Ng'wanangwa JF-Expert Member Aug 28, 2010 10,827 4,172 Nov 4, 2010 #3 gillard said: Duh hii kali aise mwenyewe nimetafakari nimekosea jibu ngoja tusubiri tuone ! Click to expand... Atapewa Biblia ya Mapepo ya Mama Rwakatare na Msahafu wa Shehe Yahaya na Shehe Sharif
gillard said: Duh hii kali aise mwenyewe nimetafakari nimekosea jibu ngoja tusubiri tuone ! Click to expand... Atapewa Biblia ya Mapepo ya Mama Rwakatare na Msahafu wa Shehe Yahaya na Shehe Sharif