Wanabodi,
................... hivyo Magufuli naye ana madhaifu yake ikiwemo kupenda misifa, kuropoka na kufanya maamuzi ya papara na kukurupuka ila kwa vile ndie kiongozi wetu Mkuu, kuna mambo ambayo hatupaswi kuyasema hata kama ni kweli, ikiwemo kumuita rais ni muongo hata kama ni kweli sometimes ni muongo hatupaswi kusema rais ni muongo.
Mungu Ibariki Tanzania.
Pasco.
Dhamira yake nikuhakikisha CCM inatesa watu...Magufuli si malaika ! ni binadamu kama wengine ! Anawaza,analala,anakula nk kama wengine tu ! Cha msingi tujaribu kumsoma kiongozi wetu kuwa nini ilikuwa dhamira yake kwenye jambo fulani ! Rais anaweza akawa na dhamira fulani njema juu ya jambo fulani lkn akateleza tu ktk namna kuliwasilisha kwa wahusika,Rais ni binadamu kama wengine tu jamani,Cha msingi ni sisi kujiongeza kwa kumuelewa rais wetu anataka nini na nini dhamira yake juu ya jambo fulani tutaishi kwa amani sana.
Rekebisha hizo herifu kwanza Ndio mazo ya MULUGO nini...badala yakuandika nadhani...unaandika NAZANINakumbuka GOD bless Lema aliwai pandisha huzi kuwaonya watoto wa ufipa kua Rais haziakiwi nazani siku ile LEMA alikua hajavuta.. Maana juzi nimeshangaa huyu alietoa ushauri kwa vijana wa ufipa na yeye amepita mulemule
Luna ulazima nasisi kuiga hayo? Mbona tunaiga yaKIJINGA na mazuri wanayofanya hatuigiHiyo ni dhana ya kutimiza takwa la demokrasia.
Hata kwenye nchi kama Uingereza kuna sehemu/constituents ambazo zinafahamika ni ngome ya chama fulani au mtu fulani lakini haijatokea wakaacha kufanya uchaguzi kwa sababu eti ni kupoteza muda na pesa pamoja na kwamba hata kabla ya kufanya kampeni na uchaguzi wanakuwa wanafahamu mshindi ni nani au chama gani.
Rule of law is much more likely to be shaped by local culture as well as history.
Local culture and history is a source of selective law.
Busara ni kumwambia umeteleza na siyo kukaa kimya au kumsifia. Kumwambia kiongozi kuwa kateleza ni vizuri kwani atajua kuwa nia yake njema haikutekelezwa. Hivyo atapata nafasi ya kujiuliza "kwa nini?"Magufuli si malaika ! ni binadamu kama wengine ! Anawaza,analala,anakula nk kama wengine tu ! Cha msingi tujaribu kumsoma kiongozi wetu kuwa nini ilikuwa dhamira yake kwenye jambo fulani ! Rais anaweza akawa na dhamira fulani njema juu ya jambo fulani lkn akateleza tu ktk namna kuliwasilisha kwa wahusika,Rais ni binadamu kama wengine tu jamani,Cha msingi ni sisi kujiongeza kwa kumuelewa rais wetu anataka nini na nini dhamira yake juu ya jambo fulani tutaishi kwa amani sana.
Huu utaratibu wa nyeusi kuitwa nyeupe umeanza lini tena ?
Mnataka awe na lugha za staha wakati nyie ndo mlianza provocation. Hebu jaribu kuvuta kumbu kumbu ya matukio ya wakati wa lile sakata la UDOM. Mnafanya character assassination badala ya kufanya constructive critisism..Mlitaka kumjaribu sasa mmeshindwa kwa nia yenu ovu mkiwa mnatumiwa na wafanyabiashara mafisadi...Pasco, kila kukicha unadhihirisha jinsi ulivyo intellectually weak. Hii tabia ya kujikomba imelitia taifa kilema ambacho inashangaza kuona mtu kama wewe unatumia nguvu kubwa kukipalilia.
Kwa nini usimshauri yeye kwanza awe na lugha ya staha na nidhamu hasa akitambua kuwa anapaswa kuwa mfano nambari moja?
It's hard to respect a polarizing figure.
Rai nzuri sana kwa nchi kama yetu inayoendeshawa kidemokrasia na utawala bora na kuheshimu haki za msingi wa kutoa mawazo na maoni kwa kila raia. Lakini kutokana na karne za utawala wa " iron rule" na hivyo kufanya taasisi nyengine hasa za usalama na utengemano kujengeka na imani ya kuchukia ukosoaji wa aina yeyote,na kwao huona ni tishio tu.Katika hali kama hii iliozoeleka ni vigumu kukosoa kwa dhati na nafasi bila ya kuiweka nafsi yako katika wasiwasi. Mpaka hapo taasisi hizi zitakapoelimishwa na kuelemika itakuwa vigumu kwa mtu mwenye akili timamu kuogelea kwenye bahari yenye mkondo huu.yaani tufanye "a constructive criticism" kama kuna mahali amekosea, au amefanya ndivyo sivyo, tupaseme kwa lugha ya heshima na staha, kisha tuweke na ushauri wa the right thing to do, hivyo ukosoaji huu utakuwa unamsaidia rais wetu na kuisaidia nchi yetu.
Mnataka awe na lugha za staha wakati nyie ndo mlianza provocation. Hebu jaribu kuvuta kumbu kumbu ya matukio ya wakati wa lile sakata la UDOM. Mnafanya character assassination badala ya kufanya constructive critisism..Mlitaka kumjaribu sasa mmeshindwa kwa nia yenu ovu mkiwa mnatumiwa na wafanyabiashara mafisadi...