Sofia aliwagawia akina mama wenzie kiasi cha fedha kadha je inapokuwa wakati wa kuhonga akina baba nadhani huwapa mamilioni.....!!!!, lakini mnamjua Sofia tangu alipoanza kusoma cheti cha sheria hata kwenda mlimani kuchuakua sheria. Watanzania tunajua mengi lakini itafika wakati babu atataka kusema.
KAHINDA Hapa ni JF we talk openly,
Tafadhari sana huyo babu muache aseme, tunataka tujue huvu vuperege vunavo anza kutetea mapapa ya ufisadi, Hata hao mapapa yalianzia hatua za perege-kambale.., kwa kuanza kuona ufisadi ni jambo sahihi, bila aibu wala woga kusimama mbele ya kadamnasi kuutetea!
Ili tusivuruge mada, tafadhali huyo bubu kama anajua lolote aweke kwenye thread yake tuchambue kama karanga!
Kakitikisa kiberiti wacha kimuwakie, hakujua yupo kwenye nyumba ya vioo kaanza kurusha mawe... lete dozi kamili babu.