GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Akiongea live kupitia Millard Ayo online TV leo jioni, Naibu waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara amesema kuwa Mbowe ni muhuni anaendesha chama kihuni sana.
Mwita amesema kuwa tukio la Mbowe kuwaambia wabunge wa CHADEMA wasiingie bungeni alilifanya kihuni bila ya kuitisha kikao chochote na wabunge wake bali alitumia njia ya WhatsApp ambao ni uhuni mkubwa.
Sambamba na hilo,Mwita ameonesha uhuni mwingine wa Mbowe wa kuwachangisha wabunge wa CHADEMA laki Saba Saba kwa manufaa yake binafsi lakini wabunge hao wamegoma kutoa hela hizo.
Pia Mwita amemtaka spika Ndugai kutuma wataalamu wa afya kuchunguza kama kweli wabunge wa CHADEMA wamejikarantini ili sheria ichukuliwe.
Pia amewapa hongera wabunge wote wa CHADEMA waliopinga uhuni wa Mbowe wa kuwazuia wasiingîe Bungeni.
Chanzo: Ayo online TV.
Mwita amesema kuwa tukio la Mbowe kuwaambia wabunge wa CHADEMA wasiingie bungeni alilifanya kihuni bila ya kuitisha kikao chochote na wabunge wake bali alitumia njia ya WhatsApp ambao ni uhuni mkubwa.
Sambamba na hilo,Mwita ameonesha uhuni mwingine wa Mbowe wa kuwachangisha wabunge wa CHADEMA laki Saba Saba kwa manufaa yake binafsi lakini wabunge hao wamegoma kutoa hela hizo.
Pia Mwita amemtaka spika Ndugai kutuma wataalamu wa afya kuchunguza kama kweli wabunge wa CHADEMA wamejikarantini ili sheria ichukuliwe.
Pia amewapa hongera wabunge wote wa CHADEMA waliopinga uhuni wa Mbowe wa kuwazuia wasiingîe Bungeni.
Chanzo: Ayo online TV.