johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,603
- 141,420
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mwita Waitara amesema wataendelea kuimarisha miundombinu ya mkoa wa Dar es salaam kwa sababu hilo ndio lango la nchi.
Waitara amesema serikali imehamia Dodoma lakini Dar es Salaam ndio lango la nchi na huo ndio ukweli.
Chanzo: ITV habari
Waitara amesema serikali imehamia Dodoma lakini Dar es Salaam ndio lango la nchi na huo ndio ukweli.
Chanzo: ITV habari