Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,209
- 6,600
Mwita Waitara: Ukitaka kushindana na watu wa Mombasa, bandari ya Mombasa ni kubwa kwelikweli, unganisha zote hapa Tanzania hatuwafikii kwa ukubwa wa eneo hata mizigo inayotua pale.
Hata kama tumeongeza Mtwara bado hapa hatuwezi kutanua zaidi, tunataka tuweke utaratibu wa bandari ambao tutashindana na Mombasa
Ili ushindane na Mombasa na ujenge bandari ya kisasa ya mahitaji yote duniani, option the best ni kwenda Bagamoyo
Sasa habari ya nini kilifanyika, ni mambo gani yapo, hayo masharti ni ya kuzungumza ndio maana mheshimiwa Rais akasema tupitie lakini hakuna ambayo utafanya ushindane na Mombasa mizigo isiende pale kwasababu ya space yetu ya bandari ya Dar es Salaam
Huwezi kushindana na wakenya kwa bandari ya Dar es Salaam
Hata kama tumeongeza Mtwara bado hapa hatuwezi kutanua zaidi, tunataka tuweke utaratibu wa bandari ambao tutashindana na Mombasa
Ili ushindane na Mombasa na ujenge bandari ya kisasa ya mahitaji yote duniani, option the best ni kwenda Bagamoyo
Sasa habari ya nini kilifanyika, ni mambo gani yapo, hayo masharti ni ya kuzungumza ndio maana mheshimiwa Rais akasema tupitie lakini hakuna ambayo utafanya ushindane na Mombasa mizigo isiende pale kwasababu ya space yetu ya bandari ya Dar es Salaam
Huwezi kushindana na wakenya kwa bandari ya Dar es Salaam