Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Itakuwa ni uchovu tu.
Haya ndiyo yaliyojengwa na awamu hii.Funzo ninalolipata ni kuishi bila kukwaza watu. Kwa nini kuumwa kwa mtu iwe issue sana Kwani wanaumwa wangapi? Mtu mpaka unafikia kuombewa kifo si jambo zuri.
Yeye ni gwiji wa kutukana na kupambana na chadema ,atumie hiyo hiyo nguvu ikiwezekana hata kwa msaada wa jeshi la polisi.
Mataga wanasema jamaa yupo tu ila hapendi kujionyesha tu hadharani/showoff kama Ali kiba.Nkuruzinza ni somo tosha
Duuh muujiza kama ule wa Pierre?Mungu mwenyezi fanya muujiza ili wakutambuwe na kukuheshimu, wala wasikudhihaki kamwe
Mungu wa mbinguni amfanyie wepesi apone haraka!View attachment 1479030
Mheshimiwa Mwita Waitara amethibitisha taarifa zilizokuwa zikizunguka mtandaoni kuwa anaumwa, lakini amekanusha kuwa ni ugonjwa wa COVID-19.
Amesema hayo akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii. Mheshimiwa Waitara amenukuliwa akisema "Naumwa na nimelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, kusema naumwa nini sijui kwa sababu sijapata taarifa ya wataalam, kwahiyo aliyeandika mnaweza kumhoji anaweza akawaambia aliongea na mamlaka zipi, lakini mimi taarifa za Corona sina."
"Hali yangu haikuwa nzuri sana ila kuanzia jana nimeanza ku-improve, kabla ya hapo nilikuwa siwezi hata kuongea na simu, nipo Hospitali karibia wiki sasa, naumwa tu kawaida kwani tangu nimekuwa Naibu Waziri nimezunguka sana sijawahi kuchukua likizo"
Na kuna 'Yesu'tuko nae huku duniani atamsaidia.Mungu wa mbinguni amfanyie wepesi apone haraka!
Umelazwa hospital wiki nzima halafu hujaambiwa Una umwa nn na wataalam , Kama sio uongo nn, wiki nzima bila majibu ni kwel hiki?View attachment 1479030
Mheshimiwa Mwita Waitara amethibitisha taarifa zilizokuwa zikizunguka mtandaoni kuwa anaumwa, lakini amekanusha kuwa ni ugonjwa wa COVID-19.
Amesema hayo akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii. Mheshimiwa Waitara amenukuliwa akisema "Naumwa na nimelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, kusema naumwa nini sijui kwa sababu sijapata taarifa ya wataalam, kwahiyo aliyeandika mnaweza kumhoji anaweza akawaambia aliongea na mamlaka zipi, lakini mimi taarifa za Corona sina."
"Hali yangu haikuwa nzuri sana ila kuanzia jana nimeanza ku-improve, kabla ya hapo nilikuwa siwezi hata kuongea na simu, nipo Hospitali karibia wiki sasa, naumwa tu kawaida kwani tangu nimekuwa Naibu Waziri nimezunguka sana sijawahi kuchukua likizo"
Mkuu Acha kujidanganya,hata uwe unaamka asubuhi na kwenda kugawa pesa kwa watu tambua kuwa wako watakaokuchukia na wapo watakao kupenda,ishi kwa kadiri uwezavyo na usiishi kwa kuigiza ili kuwafurahisha watu.Funzo ninalolipata ni kuishi bila kukwaza watu. Kwa nini kuumwa kwa mtu iwe issue sana Kwani wanaumwa wangapi? Mtu mpaka unafikia kuombewa kifo si jambo zuri.