Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,795
- 71,214
Ha haha, eti mtu usiye mjua? We kwani tunakujua? Mbona unataka tukuamini hapa?Aibu, kupenda kushabikia habari za uzushi zinazobandikwa twitter na mtu usiyemjua, maana kama habari ni ya kweli anapaswa kujitambulisha.
Kama kweli anaumwa wewe yakuhusu nini au ndio ushabiki wa kijuha na kitoto! Watu wazima hovyo!Umemjibu ipasavyo.
Kigogo2014 hatumjui lakini tunamuamini maana anatoa hoja zake kwa vielelezo vya nyaraka zenu. Tofauti na nyie mnaobwabwaja kwa hisia tuu kuhusu Chadema na viongozi wake. Wizi wa viongozi wenu anashusha nyaraka zisizo shaka. Ufuska na matumizi ya madaraka kwa kupenda ngono anashusha nyaraka.
Mfano mambo ya Gekule na KM Bashiru utabisha nini? Anaomba mkopo 50 anapewa 70 kwa sharti la kichapo kwa raha zake! Tabia mnazianzisha za kushambulia watu tena mnatumia na chombo cha umma Bunge, yakiwarudia mnalialia.
Ebo, Mara buku!