Mkuu Mahakama hazishitaki wanaoshitaki ni PolisiPambaf.....hizi mahakama hazina kazi ?? Nasikia hao akina Magulu ndo zao..wanawahaidi wachovu hao mahakimu kuwa wakifanya dili kama hizi basi watawasaidia kupata promosheni na kuhamishiwa ktk mikoa mizuri yenye rushwa kubwa kubwa...!! Yule DC wa Igunga walimzuga hivyo hivyo, akajifanya wamemvua baibui sijui na sidiria lkn baadaye wakamtosa na akawa anaishi wa aibu hadi alipotishia kujiuzulu ndo dhaifu mdogo aka mzee wa kulia -lia akamuonea huruma na kumuhamisha !
kiongozi wa chadema makao makuu amefikishwa mahakamani mkoani singida kwa kumtukana mbunge mwigilu nchemba kuwa ni malaya.
Mkuu Mahakama hazishitaki wanaoshitaki ni Polisi
Yah mkuu, ila sishangai manake siku hizi ukisema ukweli wanasema unatukana!amemtukana au amemwambia ukweli.
Mkuu Mahakama hazishitaki wanaoshitaki ni Polisi