mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
ni msiba kwa wana SISIEM kuona kwamba waliomtuma kujibu hoja zao mitandaoni kula ban..................nadhani ataenda kwenye blog ya MS wakabadilishane upuuzi wao wenyewe.
pumzika kwa amani.
jana usiku katukanana sana na jamaa mmoja hvi anaitwa Arafat tena yakuhusu mama,jamani mbona kijana hana adabu hvi?
pumzika kwa amani.
jana usiku katukanana sana na jamaa mmoja hvi anaitwa Arafat tena yakuhusu mama,jamani mbona kijana hana adabu hvi?