Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Mafuta yatapanda tena bei.. Hiyo ndio habari mpya mjini...!
Wale wanaopandisha mashetani huwa ile ni hatua ya mwisho kabisa baada ya mengine yote kufanyika ama kushindikana kufanyika..!
Waulize waliowahi kuishi na wapandisha mashetani watakwambia visa vyao.. Ama wale wanaenda kwa masangoma wapandisha mashetani vile wanavyohangaika kutafuta vibe la kupandisha mashetani
Mafuta juu.. Imesingiziwa korona na sasa vita vya huko kwa putini vimejumuishwa huko.. Hakuna rivasi kama kipikipi....ama kama joka la eden.. Vitu vinashindana kupandisha bei
Nimeambiwa hata ile starehe pendwa wametoa bei elekezi..nazo juu..na zitapaa juu zaidi kimini cha kuazima..
Kama huamini wanakaribia kupandisha mashetani waulize boda na bajaji watakwambia ama mkubwa wao uber..!
Je tuna mbadala wa kufanya wasije wakapandisha mashetani hawa watu? Maana huko tuendako sijui!?
Wale wanaopandisha mashetani huwa ile ni hatua ya mwisho kabisa baada ya mengine yote kufanyika ama kushindikana kufanyika..!
Waulize waliowahi kuishi na wapandisha mashetani watakwambia visa vyao.. Ama wale wanaenda kwa masangoma wapandisha mashetani vile wanavyohangaika kutafuta vibe la kupandisha mashetani
Mafuta juu.. Imesingiziwa korona na sasa vita vya huko kwa putini vimejumuishwa huko.. Hakuna rivasi kama kipikipi....ama kama joka la eden.. Vitu vinashindana kupandisha bei
Nimeambiwa hata ile starehe pendwa wametoa bei elekezi..nazo juu..na zitapaa juu zaidi kimini cha kuazima..
Kama huamini wanakaribia kupandisha mashetani waulize boda na bajaji watakwambia ama mkubwa wao uber..!
Je tuna mbadala wa kufanya wasije wakapandisha mashetani hawa watu? Maana huko tuendako sijui!?