Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,490
- 215,332
Hakuna haja ya porojo jionee mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu hapo wanakula ruzuku bure tu! Watapata kipigo cha mbwa koko tu na WaitaraHakuna haja ya porojo jionee mwenyewe
View attachment 866556View attachment 866557View attachment 866558View attachment 866559
Vuvuzela kwenye ubora wako!!Mkurya feki zake zimefika Bado yule kichaa
Swissme
ebana uyu si ndio yule kamanda wetu mlisifu kwa nyimbo na mapambio punguza unafiki utakua uendi mbinguniMkurya feki zake zimefika Bado yule kichaa
Swissme
Jingalao na stroke wamepanda vyeo wanalala usiku nyinyi ndiyo new comers mnafanya night shiftmsiseme mmeibiwa Kura mnaanzaga kwa mbwembwe hivihivi kila Siku lakini mwisho wenu siku zote unajulikana
Wameshaweka mpango wa jinsi watakavyomtangaza dada poa wa kisiasa kama mshindiUsishangae kesho yakapigwa mbomu ya machozi
heheheh kama mimi ni new comer nahisi hata wewe pia ni new comer..... 5years at Jf unaniita new comer basi sawa...Jingalao na stroke wamepanda vyeo wanalala usiku nyinyi ndiyo new comers mnafanya night shift
Kama walivoweka mpango wakulinda kura 2015, so stupid idea.....Wameshaweka mpango wa jinsi watakavyomtangaza dada poa wa kisiasa kama mshindi
mkuu tiari mbona tofaut ya 76,000 na 3000 haha hHakuna kitu hapo wanakula ruzuku bure tu! Watapata kipigo cha mbwa koko tu na Waitara