FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Nimewaza na kuona ikiwa wizara ya utalii na utamaduni itapitisha basi ndiyo tutakuwa tumepata vazi LA taifa 2020, nitaomba ktk hafla niwepo na nitafurahi kumuona Mh. Rais Dr. Magufuli amevaa na waheshimiwa wengine. Tazama vazi hilo katika nembo ya taifa hapo chini.