Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Ukawa itasambaratishwa kwa kutumia pesa tu.
Ukitoa ngono, hakuna kitu tunacho kiabudu watanzania kama pesa haijalishi pesa ni halali au haramu.
Kwa kutambua hilo, CCM itatumia pesa kulitawanya genge hili la vijana na wazee. Kwa bahati mbaya
si vijana wote au wazee wote watapata hizo pesa bali ni wale wachache wenye nguvu kubwa ndani
ya genge hilo.
TUWAOMBEE UKAWA, washinde jaribu la pesa ili waokoe kizazi cha sasa na kijacho.
Ukitoa ngono, hakuna kitu tunacho kiabudu watanzania kama pesa haijalishi pesa ni halali au haramu.
Kwa kutambua hilo, CCM itatumia pesa kulitawanya genge hili la vijana na wazee. Kwa bahati mbaya
si vijana wote au wazee wote watapata hizo pesa bali ni wale wachache wenye nguvu kubwa ndani
ya genge hilo.
TUWAOMBEE UKAWA, washinde jaribu la pesa ili waokoe kizazi cha sasa na kijacho.