AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Sio siri siiipendi hii jamiii :rip::rip::rip::rip:
Ni vinara wakuu wa ufisadi Afrika halafu fedha hupeleka kuhifadhi nchi za nje na majumba wanajenga nchi za nje. Pia huyumbisha mno uchumi wa nchi kwa kukimbiza nje ya nchi fedha zao wakati wa uchaguzi mkuu. Idd Amin tu ndio aliwaonjesha joto ya jiwe.