matobholo
Senior Member
- Sep 21, 2016
- 106
- 100
Ndugu wanajamvi
Tujipe pole na mambo magumu yanayoendelea kutupata ikiwemo Mkurugenzi wetu Melo kuswekwa lumande, lema kuendelea kusota, mara zika, Ben saa8 kapotea
Nina imani tutapita ktk vipindi hivi vigumu.
Binafsi nimekuwa na wakati mchungu kabisa katika maisha yangu kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Mwezi jana nilifiwa na mama yangu mzazi aliyeniachia madogo 3, kwa mara ya kwa nimeanza kuhis kukomaa zaidi ukilinganisha pesa ilivogoma.
Last week alikuja niaga mpenzi wang ambaye ni mnyaturu wa manyoni, huyu Dada ni askari nilikutana naye mwaka mmoja nyuma,nilichelewa kwenda kwao kwa sababu ya dini, ingawa siku za hivi karibuni nilibadili msimamo nimuoe tu yy, na tukahaidiana kutambulishana mwezi march next year akichukua likizo kubwa.
Sasa jana nimepiga simu usiku saa tano, kanapokea kajamaa ,du!!! I was shocked, nilisikia maumivu sana.
Nikaongea na huyo Dogo akadai yeye anaye miaka 6 kweny uhusiano, nimeamua kumuacha huyo Dada ingawa nasubir kesho arudi tuzungumze kwa nini aliamua kufanya vitendo vya namna hiyo, nilikuwa naye karibu kiasi kwamba ofsn kwao wanajua natoka naye hata ofsin kwangu pia wanajua.
Nilitaka nimuoe kabla ya kwenda shule kwa masomo ya juu zaidi,
Ki ukweli nimeumia sana sana, nimeshindwa kumsimua hata rfk ang wa karibu, nipo ndani tu leo,
Nchi yangu pendwa haileweki, Mama amenitoka na mchumba tena kaondoka du mwaka mbaya huu.
Tujipe pole na mambo magumu yanayoendelea kutupata ikiwemo Mkurugenzi wetu Melo kuswekwa lumande, lema kuendelea kusota, mara zika, Ben saa8 kapotea
Nina imani tutapita ktk vipindi hivi vigumu.
Binafsi nimekuwa na wakati mchungu kabisa katika maisha yangu kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Mwezi jana nilifiwa na mama yangu mzazi aliyeniachia madogo 3, kwa mara ya kwa nimeanza kuhis kukomaa zaidi ukilinganisha pesa ilivogoma.
Last week alikuja niaga mpenzi wang ambaye ni mnyaturu wa manyoni, huyu Dada ni askari nilikutana naye mwaka mmoja nyuma,nilichelewa kwenda kwao kwa sababu ya dini, ingawa siku za hivi karibuni nilibadili msimamo nimuoe tu yy, na tukahaidiana kutambulishana mwezi march next year akichukua likizo kubwa.
Sasa jana nimepiga simu usiku saa tano, kanapokea kajamaa ,du!!! I was shocked, nilisikia maumivu sana.
Nikaongea na huyo Dogo akadai yeye anaye miaka 6 kweny uhusiano, nimeamua kumuacha huyo Dada ingawa nasubir kesho arudi tuzungumze kwa nini aliamua kufanya vitendo vya namna hiyo, nilikuwa naye karibu kiasi kwamba ofsn kwao wanajua natoka naye hata ofsin kwangu pia wanajua.
Nilitaka nimuoe kabla ya kwenda shule kwa masomo ya juu zaidi,
Ki ukweli nimeumia sana sana, nimeshindwa kumsimua hata rfk ang wa karibu, nipo ndani tu leo,
Nchi yangu pendwa haileweki, Mama amenitoka na mchumba tena kaondoka du mwaka mbaya huu.