Mwisho wa mwaka mbaya kabisa kwangu kuwahi kutokea

matobholo

Senior Member
Sep 21, 2016
106
100
Ndugu wanajamvi
Tujipe pole na mambo magumu yanayoendelea kutupata ikiwemo Mkurugenzi wetu Melo kuswekwa lumande, lema kuendelea kusota, mara zika, Ben saa8 kapotea
Nina imani tutapita ktk vipindi hivi vigumu.
Binafsi nimekuwa na wakati mchungu kabisa katika maisha yangu kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Mwezi jana nilifiwa na mama yangu mzazi aliyeniachia madogo 3, kwa mara ya kwa nimeanza kuhis kukomaa zaidi ukilinganisha pesa ilivogoma.
Last week alikuja niaga mpenzi wang ambaye ni mnyaturu wa manyoni, huyu Dada ni askari nilikutana naye mwaka mmoja nyuma,nilichelewa kwenda kwao kwa sababu ya dini, ingawa siku za hivi karibuni nilibadili msimamo nimuoe tu yy, na tukahaidiana kutambulishana mwezi march next year akichukua likizo kubwa.
Sasa jana nimepiga simu usiku saa tano, kanapokea kajamaa ,du!!! I was shocked, nilisikia maumivu sana.
Nikaongea na huyo Dogo akadai yeye anaye miaka 6 kweny uhusiano, nimeamua kumuacha huyo Dada ingawa nasubir kesho arudi tuzungumze kwa nini aliamua kufanya vitendo vya namna hiyo, nilikuwa naye karibu kiasi kwamba ofsn kwao wanajua natoka naye hata ofsin kwangu pia wanajua.
Nilitaka nimuoe kabla ya kwenda shule kwa masomo ya juu zaidi,
Ki ukweli nimeumia sana sana, nimeshindwa kumsimua hata rfk ang wa karibu, nipo ndani tu leo,

Nchi yangu pendwa haileweki, Mama amenitoka na mchumba tena kaondoka du mwaka mbaya huu.
 
Pole kwa kufiwa na mama najua machungu ya kufiwa na mama, kuhusu mpenzi mshukuru mungu umemjua mapemaa kuwa sio mtu sahihi kwako
 
Pole sana mkuu kwa kufiwa na mama cause mama hana replacement, but mpenzi utapata mwingine na huenda akakupenda kwa dhati kuliko huyo msaliti
 
Ndugu wanajamvi
Tujipe pole na mambo magumu yanayoendelea kutupata ikiwemo Mkurugenzi wetu Melo kuswekwa lumande, lema kuendelea kusota, mara zika, Ben saa8 kapotea
Nina imani tutapita ktk vipindi hivi vigumu.
Binafsi nimekuwa na wakati mchungu kabisa katika maisha yangu kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Mwezi jana nilifiwa na mama yangu mzazi aliyeniachia madogo 3, kwa mara ya kwa nimeanza kuhis kukomaa zaidi ukilinganisha pesa ilivogoma.
Last week alikuja niaga mpenzi wang ambaye ni mnyaturu wa manyoni, huyu Dada ni askari nilikutana naye mwaka mmoja nyuma,nilichelewa kwenda kwao kwa sababu ya dini, ingawa siku za hivi karibuni nilibadili msimamo nimuoe tu yy, na tukahaidiana kutambulishana mwezi march next year akichukua likizo kubwa.
Sasa jana nimepiga simu usiku saa tano, kanapokea kajamaa ,du!!! I was shocked, nilisikia maumivu sana.
Nikaongea na huyo Dogo akadai yeye anaye miaka 6 kweny uhusiano, nimeamua kumuacha huyo Dada ingawa nasubir kesho arudi tuzungumze kwa nini aliamua kufanya vitendo vya namna hiyo, nilikuwa naye karibu kiasi kwamba ofsn kwao wanajua natoka naye hata ofsin kwangu pia wanajua.
Nilitaka nimuoe kabla ya kwenda shule kwa masomo ya juu zaidi,
Ki ukweli nimeumia sana sana, nimeshindwa kumsimua hata rfk ang wa karibu, nipo ndani tu leo,

Nchi yangu pendwa haileweki, Mama amenitoka na mchumba tena kaondoka du mwaka mbaya huu.
Mimi nakupa pole tu Kwa kuondokewa na Kipenzi chetu mama Yetu, Mungu amlaze mahali pema peponi, ila Kwa huyo papachu acha aende tu.
 
Ndugu wanajamvi
Tujipe pole na mambo magumu yanayoendelea kutupata ikiwemo Mkurugenzi wetu Melo kuswekwa lumande, lema kuendelea kusota, mara zika, Ben saa8 kapotea
Nina imani tutapita ktk vipindi hivi vigumu.
Binafsi nimekuwa na wakati mchungu kabisa katika maisha yangu kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Mwezi jana nilifiwa na mama yangu mzazi aliyeniachia madogo 3, kwa mara ya kwa nimeanza kuhis kukomaa zaidi ukilinganisha pesa ilivogoma.
Last week alikuja niaga mpenzi wang ambaye ni mnyaturu wa manyoni, huyu Dada ni askari nilikutana naye mwaka mmoja nyuma,nilichelewa kwenda kwao kwa sababu ya dini, ingawa siku za hivi karibuni nilibadili msimamo nimuoe tu yy, na tukahaidiana kutambulishana mwezi march next year akichukua likizo kubwa.
Sasa jana nimepiga simu usiku saa tano, kanapokea kajamaa ,du!!! I was shocked, nilisikia maumivu sana.
Nikaongea na huyo Dogo akadai yeye anaye miaka 6 kweny uhusiano, nimeamua kumuacha huyo Dada ingawa nasubir kesho arudi tuzungumze kwa nini aliamua kufanya vitendo vya namna hiyo, nilikuwa naye karibu kiasi kwamba ofsn kwao wanajua natoka naye hata ofsin kwangu pia wanajua.
Nilitaka nimuoe kabla ya kwenda shule kwa masomo ya juu zaidi,
Ki ukweli nimeumia sana sana, nimeshindwa kumsimua hata rfk ang wa karibu, nipo ndani tu leo,

Nchi yangu pendwa haileweki, Mama amenitoka na mchumba tena kaondoka du mwaka mbaya huu.

Pole ndugu ndo ukubwa
 
Back
Top Bottom