chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,631
Kwa hali ilivyo, miba imetegwa kila mahala, taarifa zilizopo ni kwamba ATCL watazindua safari kuelekea kwa Bibi(Uingereza) mwishoni kwa mwaka huu.
Wadeni wetu wametapakaa huko duniani na nyaraka za mahakama, na wametega miiba na misumari kila mahala, mali pekee inayovuka Boda ni ndege zetu za ATCL, pale Benki Kuu, hawawezi kufika kujichotea fedha wanazotudai.
Kilichobaki wanachotaka kugawana ni ndege zetu
Je wanasheria na wanausalama wamejipangaje kudhibiti hali hii? Wanafanya analysis za hali ya mambo au mpaka yatokee?
Kwa hali hii ni sasa na kufungua biashara karibu na nyuki waliochokozwa,muda wowote wanakugonga mwiba
Wadeni wetu wametapakaa huko duniani na nyaraka za mahakama, na wametega miiba na misumari kila mahala, mali pekee inayovuka Boda ni ndege zetu za ATCL, pale Benki Kuu, hawawezi kufika kujichotea fedha wanazotudai.
Kilichobaki wanachotaka kugawana ni ndege zetu
Je wanasheria na wanausalama wamejipangaje kudhibiti hali hii? Wanafanya analysis za hali ya mambo au mpaka yatokee?
Kwa hali hii ni sasa na kufungua biashara karibu na nyuki waliochokozwa,muda wowote wanakugonga mwiba