Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kama ccm walidhani cdm ipo ICU basi watakuwa wanajidanganya sana.
Cdm ni chama makini na chenye viongozi wanaofanya kazi kwa weledi mkubwa sana.
Tunawaomba wanachama wetu na wapenzi wetu na wale wasiyo na chama lkn wanapenda mageuzi basi watuunge mkono ili tutimize lengo letu la kuipumzisha ccm.
Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikia.
Umoja wetu ndiyo nguvu yetu.
Peoplessssssss!!!
In God we Trust
Cdm ni chama makini na chenye viongozi wanaofanya kazi kwa weledi mkubwa sana.
Tunawaomba wanachama wetu na wapenzi wetu na wale wasiyo na chama lkn wanapenda mageuzi basi watuunge mkono ili tutimize lengo letu la kuipumzisha ccm.
Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikia.
Umoja wetu ndiyo nguvu yetu.
Peoplessssssss!!!
In God we Trust