Nana brain
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 488
- 367
Namashaka na IQ yake. Ikulu alikuwa hapati pesa!?!!!!
Shangaa!... labda alikua nahongaNamashaka na IQ yake. Ikulu alikuwa hapati pesa!?!!!!
Mi ndio nimeiona leoBahati mbaya sikuiona mkuu, nilipoipata ikabidi niipandishe. Ni imani yangu wapo ambao hawakua wameiona kama mimi na walau wamepata nafasi ya kuisoma
Karibu sanaMi ndio nimeiona leo
Mkuu pamoja na Africa kupita katika njia ngumu sana kuelekea demokrasia lakini pia katika njia hiyo tulipata viongozi kadhaa wazuri ambao hawakuingia madarakani kwa njia ya sanduku la kura. Ila kwa bahati mbaya sana viongozi hao hawakudumu madarakani pamoja na nia hao nzuri ya kuwafumikia wananchi wao. Waliondolewa na mabeberu ambao waliona mirija yao ndani ya bara la africa imezibwa. Viongozi hao ni kama Tom Sankara na huyu Valentine Stresser. Wengine waliingia madarakani wakiwa na nia njema ila wakaa madarakani kwa muda mrefu na kujisahau kabisa na kuanza kuwa miungu watu; hawa ni kama akina Col. Gaddafi, Master Sergeant Samwel Doe na sasa tunamuona huyu Yahya Jammeh. Mwisho wa hawa wa kundi la pili huwa mbaya sana. Bado tunasubiria mwisho wa Yahya Jammeh na akina Blaise Compaore.
We ni noma mkuu..
Ulimtabiria Jammeh
Mungu ni mkubwa kwani niliuona mwisho wa Compaore pale alipofukuzwa kama mwizi toka Ikulu aliyoikalia kwa miaka 27 baada ya kumpindua Sankara.Mkuu wangu siwezi kumsahau Capt. Thomas Isidore Noel Sankara (RIP) aliyempindua Jean Baptiste Ouedraogo mwaka 1983 wakati huo Capt. Sankara akiwa na umri wa miaka 33. Hakuwa na miaka 25 mkuu. Alikuja kupinduliwa na rafiki yake aitwaye Blaise Compaore mwaka 1987. Mkuu simpendi Compaore na natamani niuone mwisho wake.
TabiriMkuu pamoja na Africa kupita katika njia ngumu sana kuelekea demokrasia lakini pia katika njia hiyo tulipata viongozi kadhaa wazuri ambao hawakuingia madarakani kwa njia ya sanduku la kura. Ila kwa bahati mbaya sana viongozi hao hawakudumu madarakani pamoja na nia hao nzuri ya kuwafumikia wananchi wao. Waliondolewa na mabeberu ambao waliona mirija yao ndani ya bara la africa imezibwa. Viongozi hao ni kama Tom Sankara na huyu Valentine Stresser. Wengine waliingia madarakani wakiwa na nia njema ila wakaa madarakani kwa muda mrefu na kujisahau kabisa na kuanza kuwa miungu watu; hawa ni kama akina Col. Gaddafi, Master Sergeant Samwel Doe na sasa tunamuona huyu Yahya Jammeh. Mwisho wa hawa wa kundi la pili huwa mbaya sana. Bado tunasubiria mwisho wa Yahya Jammeh na akina Blaise Compaore.
Nitabiri nini?Tabiri
Ulishatabiri kuhusu jammeh na tayari kashangolewa.thats what I meant mkuuNitabiri nini?