Wewe ndo kiazi kweli, kocha msaidizi wa DRC unambeza?Na kweli ndio maana bado ni kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Congo na sio kocha Mkuu.
Mwinyi Zahera ni bonge la Kocha hupendi mambo ya u farther!!!"kwani tunacheza na wanawake" Coach Zahera
Nadhani baada ya Yanga kutoa kipigo kwenye mikoa mbalimbali sasa umemwelewa Papa Mwinyi zahera!Baada ya kuwadhishia kipigo kizito.. 30/09 ndo itakua siku yake ya mwisho kufanya kazi Ndala Microfinance.
Mwinyi zahera kwa super sub namkubali. Akifanya sub lazima ipindue meza!!!Pongezi kwake Zahera