Kwa utegemezi huu wa serikali huduma za afya zitaendelea kua duni milele mpaka hapo wananchi tukapo amua vinginevyo!
hapa chini anajisifia kwa kufanya mazuri......tafakari
Lengo la wizara ya afya ni kuruhusu vifo vya akina mama 54 kati ya 1000 wakati wa kujifungua, na kutekeleza hilo tiari Jumla ya waganga wa kienyeji na wakunga wa jadi 1200 wamesajiliwa.
hapa chini anajisifia kwa kufanya mazuri......tafakari
- 2011-2012 serikali ilipeleka nje ya nchi jumla ya wagonjwa 502 nje ya nchi. Kati yao watoto 225,.... 277 watu wazima, 8.4% viongozi.
- Mwaka 2011-2012 tumeboresha huduma za vipimo katika hospitali zetu zote zikiwepo huduma za CT-SCAN, MRI, XRAY na Fluoroscopy
Lengo la wizara ya afya ni kuruhusu vifo vya akina mama 54 kati ya 1000 wakati wa kujifungua, na kutekeleza hilo tiari Jumla ya waganga wa kienyeji na wakunga wa jadi 1200 wamesajiliwa.