Mwinyi: Hakuna mtu ambaye anamuenzi Mwalimu Nyerere kwa vitendo mpaka sasa

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
Eti Uvccm wanasema Magufuli kama Nyerere hivi mnamtambua nyerere au mnaleta bongo filamu na magazeti mengine nayo kichefuchefu,

download.jpg
 
Watu ni wanafiki sana hapa duniani mtu anafanya upupu wakati wake anaruhusu kila kitu huriaaaa watu wakaweka mizizi ya kunyinya wanyinge sasa hivi eti bkablaaaa ntamzaba kibao kingine mtu siku sio nyingi
 
Eti Uvccm wanasema Magufuli kama Nyerere hivi mnamtambua nyerere au mnaleta bongo filamu na magazeti mengine nayo kichefuchefu,

View attachment 417850
Magufuli hajui Enlightenment Philosophy.

Nyerere hajasoma Chemistry kama Magufuli lakini alijua umuhimu wa catalyst katika political equation kuliko Magufuli.
 
Watu ni wanafiki sana hapa duniani mtu anafanya upupu wakati wake anaruhusu kila kitu huriaaaa watu wakaweka mizizi ya kunyinya wanyinge sasa hivi eti bkablaaaa ntamzaba kibao kingine mtu siku sio nyingi

Lakini hata yeye amejisema kwamba ni sababu ya tatizo,hivyo ameukataa UNAFIKI.Ameongea kilicho moyoni kabla hajaondoka kwenye dunia ya mashida mengi hii
 
Magufuli hajui Enlightenment Philosophy.

Nyerere hajasoma Chemistry kama Magufuli lakini alijua umuhimu wa catalyst katika political equation kuliko Magufuli.
Nyerere alikuwa mwalimu wa chemistry na biology mkuu
 
Nyerere alikuwa mwalimu wa chemistry na biology mkuu
Hakuwa na Ph.D ya Chemistry.

Sijasema hakusoma Chemistry. Nimesema hakusoma Chemistry kama Magufuli. Rudia kusoma.

Au Nyerere alikuwa na Ph.D ya Chemistry nisiyoijua?
 
Hakuwa na Ph.D ya Chemistry.

Sijasema hakusoma Chemistry. Nimesema hakusoma Chemistry kama Magufuli. Rudia kusoma.

Au Nyerere alikuwa na Ph.D ya Chemistry nisiyoijua?
Huyo Makorere kapotosha, mwalimu Nyerere alikuwa ni mtaalam wa history hakufundisha chemistry wala somo lolote lile la sayansi.
 
Inawezekana alifundisha kwa sababu labda ya uhaba wa waalimu wa Biology, tukumbuke kuwa hizo ni enzi za ukoloni. Lakini Edinburgh hakusomea masomo ya sayansi, nijuavyo alisoma economics na history.
Yeah. But swali si Edinburgh alisomea nini, swali ni alifundisha nini.

Nimemsoma na kuwasiliana na rafiki yangu Dr. Thomas Molony (wa Edinburgh University) katika "Nyerere:The Early Years".

Hakuna alipo specialize kwenye kusoma sayansi.

413LbFl9XxL._SX330_BO1,204,203,200_.jpg
 
Back
Top Bottom