Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,523
- 5,853
Banza Stone alikua mwamba sana, kama asingeondoka mapema angetoa ushindani mkubwa sana kwa Christian Bella
Sent using Jamii Forums mobile app
Muumini alitisha akiwa mchinga then tamtam. Kwa ulinganisho wa wanamziki wa kizazi chake, banza aliwazidi hatua moja mbele
Sent using Jamii Forums mobile app