Mwingira aporomosha matusi ya nguoni ibadani baada ya kuumbuliwa na JF

Anold

JF-Expert Member
Jul 15, 2010
1,456
614
Katika ibada ya jumapili iliyokuwa inafanyika kwenye kanisa la EFATA Nabii na mtume mwingira aliporomosha matusi ya nguvu kwenye ibada hiyo kwa watu wote wanaokwenda Loliondo na waandishi wa habari wanaojifanya kumuandika kwenye vyombo vya habari baaadhi ya maneno yenye lugha iliyopitiliza sitaweka ila mojawapo ni haya " Nasema wale wanaokwenda Loliondo ni wajinga!! nasema niwajinga!! waandishi wa habari ambao wanatabia ya kuniandikaandika kwenye vyombo ya habari ni wajinga'' nasema niwajinga, mawaziri wanaokwenda Loliondo ni wajinga!!! wanaonisema kuwa ninalaaana ya Kanisa la Moja ni wajingaaaa!!! baada ya kuporomosha maneno ambayo sio rahisi kwa mtu yeyote wa mungu kuyatamka alimalizia kwa kuwataka wamumini waitikie kwa kusema ameeen. Hata hivyo alibainisha wazi kuwa anajua kuna waandishi wa habari wapo ibadani hapo hivyo waandike wanavyoweza maana ni wajinga.

Kwenye Ibada ya jumapili ya tarehe 13/03/2011 mwingira alitoa amri mafundi waliokuwa wanarusha ibada ya jumapili kwa njia ya TV wazime ili wanachi wanofuatilia ibada hiyo wasione kashfa aliyoitoa kumkashifu babu wa loliondo hata hivyo bila kujua kuwa JF member alikuwa mmoja wa watu waliokuwa wametinga ndani ya ibada hiyo. Hata hivyo inaonesha kuwa mwingira anashida kubwa kiroho hivyo kwani taharuki na ghadhabu aliyoionyesha ibadani juu ya kuanikwa na vyombo vya habari mimi binafsi sijui nitafanyiwa maombi gani ili niamini kuwa mwingira ni nabii. Baada ya ibada baadhi ya waumini wake walisikika wakimlaumu kwa lugha alizotumia kuwasilisha hisia zake!! nimeona niwajuze wenzangu ili mjue msimamo wa nabii huyu!!!!
 
wateja wamepungua kwake nini?

Walikuwepo ila inavyoelekea wameshaanza kushtuka maana hapo tu aligawa bahasha ili watu wachangie pesa, Kibaya zaidi waumini wemeshtukia maana binti wake mwingira amepigwa mimba na mhuni mmoja wa kimara. Pia mtoto wake wa kiume ndiyo utajua watumishi wa mungu nao wanamisalaba!!!
 
Conflict of interest.

Anashindwa kujizuia anaroho ya kibepari kujilimbikizia mali .

Sasa anaona babu kawa na mvuto na waumini wake wamemkimbia na ubabaishaji wake
 
Katika ibada ya jumapili iliyokuwa inafanyika kwenye kanisa la EFATA Nabii na mtume mwingira aliporomosha matusi ya nguvu kwenye ibada hiyo kwa watu wote wanaokwenda Loliondo na waandishi wa habari wanaojifanya kumuandika kwenye vyombo vya habari baaadhi ya maneno yenye lugha iliyopitiliza sitaweka ila mojawapo ni haya " Nasema wale wanaokwenda Loliondo ni wajinga!! nasema niwajinga!! waandishi wa habari ambao wanatabia ya kuniandikaandika kwenye vyombo ya habari ni wajinga'' nasema niwajinga, mawaziri wanaokwenda Loliondo ni wajinga!!! wanaonisema kuwa ninalaaana ya Kanisa la Moja ni wajingaaaa!!! baada ya kuporomosha maneno ambayo sio rahisi kwa mtu yeyote wa mungu kuyatamka alimalizia kwa kuwataka wamumini waitikie kwa kusema ameeen. Hata hivyo alibainisha wazi kuwa anajua kuna waandishi wa habari wapo ibadani hapo hivyo waandike wanavyoweza maana ni wajinga.

Kwenye Ibada ya jumapili ya tarehe 13/03/2011 mwingira alitoa amri mafundi waliokuwa wanarusha ibada ya jumapili kwa njia ya TV wazime ili wanachi wanofuatilia ibada hiyo wasione kashfa aliyoitoa kumkashifu babu wa loliondo hata hivyo bila kujua kuwa JF member alikuwa mmoja wa watu waliokuwa wametinga ndani ya ibada hiyo. Hata hivyo inaonesha kuwa mwingira anashida kubwa kiroho hivyo kwani taharuki na ghadhabu aliyoionyesha ibadani juu ya kuanikwa na vyombo vya habari mimi binafsi sijui nitafanyiwa maombi gani ili niamini kuwa mwingira ni nabii. Baada ya ibada baadhi ya waumini wake walisikika wakimlaumu kwa lugha alizotumia kuwasilisha hisia zake!! nimeona niwajuze wenzangu ili mjue msimamo wa nabii huyu!!!!
Hao ndio manabii wetu hawapendi kukosolewa au kuona mtu mwingine anapata sifa kuzidi wao,hapo hakuna nabii yoyote ila ni UTAPELI mtupu,huyo Mwingira anashindwa kuwasaidia watoto wa kaka yake aliyemlea na kukaa naye Nairobi,leo hii ndie ajifanye awe na huruma kwa watu wengine,hawa manabii sijui wa upako,ufufuo,utajiri ni matapeli tu ambao wananufaika kutokana na matatizo ya watu
 
Hizi ni siku za mwisho tunaanza kuwatambua mmoja mmoja kwa matendo na maneno yao.
badala ya kufunga na kumwomba MUNGU wake anayemwamini amfunulie juu ya Babu wa Loliondo kama ni wa kweli au la ili awashauri ipasavyo Waumini wake, yeye anatukana!! Wote wako kimaslahi hakuna hata mmoja nimwaminiye
 
Ivi Unabii na Utume unajipa unapewa?
hehehe na bado watatoka povu sana! mi nashindwa kuelewa ivi mtu unatekwaje kiimani na watu kama kina Mwingira &Co.
 
Maombezi yake huwa ni ya ajabu sana na hata lugha anayoitumia mara nyingi huwa ni kali na ya matusi, unapofuatilia vipindi vyake Efatha Tv wakati mwingine lugha inayotumika haipendezi kutizama na kusikiaka na watoto
 
So kwa mujibu wa hii hotuba wewe ni mjinga, Am just kidding lol! i will be back for further comments.

Katika ibada ya jumapili iliyokuwa inafanyika kwenye kanisa la EFATA Nabii na mtume mwingira aliporomosha matusi ya nguvu kwenye ibada hiyo kwa watu wote wanaokwenda Loliondo na waandishi wa habari wanaojifanya kumuandika kwenye vyombo vya habari baaadhi ya maneno yenye lugha iliyopitiliza sitaweka ila mojawapo ni haya " Nasema wale wanaokwenda Loliondo ni wajinga!! nasema niwajinga!! waandishi wa habari ambao wanatabia ya kuniandikaandika kwenye vyombo ya habari ni wajinga'' nasema niwajinga, mawaziri wanaokwenda Loliondo ni wajinga!!! wanaonisema kuwa ninalaaana ya Kanisa la Moja ni wajingaaaa!!! baada ya kuporomosha maneno ambayo sio rahisi kwa mtu yeyote wa mungu kuyatamka alimalizia kwa kuwataka wamumini waitikie kwa kusema ameeen. Hata hivyo alibainisha wazi kuwa anajua kuna waandishi wa habari wapo ibadani hapo hivyo waandike wanavyoweza maana ni wajinga.

Kwenye Ibada ya jumapili ya tarehe 13/03/2011 mwingira alitoa amri mafundi waliokuwa wanarusha ibada ya jumapili kwa njia ya TV wazime ili wanachi wanofuatilia ibada hiyo wasione kashfa aliyoitoa kumkashifu babu wa loliondo hata hivyo bila kujua kuwa JF member alikuwa mmoja wa watu waliokuwa wametinga ndani ya ibada hiyo. Hata hivyo inaonesha kuwa mwingira anashida kubwa kiroho hivyo kwani taharuki na ghadhabu aliyoionyesha ibadani juu ya kuanikwa na vyombo vya habari mimi binafsi sijui nitafanyiwa maombi gani ili niamini kuwa mwingira ni nabii. Baada ya ibada baadhi ya waumini wake walisikika wakimlaumu kwa lugha alizotumia kuwasilisha hisia zake!! nimeona niwajuze wenzangu ili mjue msimamo wa nabii huyu!!!!
 
Nimesikia viongozi wengi wa dini mbalimbali wamezungumzia kuhusu babu wa loliondo ila kuna baadhi bado sijasikia misimamo yao kwa mfano Sijamsikia Mwalimu Christopher Mwakasege msimamo au views zake kuhusu babu wa loliondo.
 
Nimesikia viongozi wengi wa dini mbalimbali wamezungumzia kuhusu babu wa loliondo ila kuna baadhi bado sijasikia misimamo yao kwa mfano Sijamsikia Mwalimu Christopher Mwakasege msimamo au views zake kuhusu babu wa loliondo.
Mwakasege kasema watu waende wakapate kikombe......
 
Nimesikia viongozi wengi wa dini mbalimbali wamezungumzia kuhusu babu wa loliondo ila kuna baadhi bado sijasikia misimamo yao kwa mfano Sijamsikia Mwalimu Christopher Mwakasege msimamo au views zake kuhusu babu wa loliondo.

Kama ulisikia semina yake iliyokuwa inaendelea pale Biafra Kinondoni, inahusu sana Maombi. Na anasisitiza watu waombe kwa bidii, na kwa nguvu zaidi, bila kukoma.
Nampenda sana huyu mtumishi, huwa hajisemei semei mambo hovyo. Lakini anakuambia hivi........ASOMAE na afahamu, ASIKIAE na afahamu.
Omba kwa bidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!! Ndicho nilichokiona mtumishi huyu anasisitiza kwenye somo lake kipindi hiki cha hili wimbi la.............!!!!
 
Naye atafute jani la mti wowote atie neno pale halafu aone kama litaponyesha magonjwa sugu. Lisipoponyesha ujue hakuna kitu hapo, nabii feki, amejipa unabii kwa kujiamini na nguvu za giza. Dawa ya babu inawaumiza sana yeye na Kakobe, sijui nini kinawauma wagonjwa wanapopona... Tunaambiwa kuwa imani inaweza hata kuhamisha mlima iweje yeye ashindwe kutibu magonjwa sugu halafu anamporomoshea matusi anayesemekana anaweza???
 
Mkuu Anold,

Kumbuka ya kuwa.......dini ni mpango wa MUNGU kumkomboa Mwanadamu, na dhehebu ni mpango wa Mwanadamu kumtafuta MUNGU!

Sasa kwenye kumtafuta MUNGU si wote wanakuwa/tunakuwa kwenye RIGHT TRACK.
 
...................vipi suala la la kupanda mbegu hakulizungumzia............................?
 
Mwakasege kasema watu waende wakapate kikombe......

Acha uongo wa kusingizia watumish wa Mungu. unatafuta faraja kwa kuwa unataka kwenda? au ushaenda na hujapona? au umesikia wamepona ila hujathibitisha! pole
 
Back
Top Bottom