Aliyewahi kuwa Miss Dodoma miaka ya nyuma ambaye kwa sasa ni mwimbainjili nchini, Eva Evance Philipo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa CCM akiwakilisha wanawake mkoa wa Kagera.
Eva amesema kwa sasa hana la kusema, ila anamtanguliza Mungu mbele katika safari yake hiyo.
Eva amesema kwa sasa hana la kusema, ila anamtanguliza Mungu mbele katika safari yake hiyo.