Mwili wa Ndesamburo kuzungushwa mitaani Moshi ni utesaji

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,911
51,889
Taarifa kutoka Radio One zinasema mwili wa Ndesamburo.

utazungushwa mitaani manispaa Ya Moshi ikiwa kwenye jeneza la kifahari lililonunuliwa toka kenya eti kuwapa nafasi wananchi kuaga.Huu ni utesaji jamani. Watu wanafanya maiti kama maonyesho ya biashara ya kuzungusha mitaani.

CHADEMA naona kuna washirikina hivi kwa nini wanaonyesha kama wamefurahi kifo chake kwa kuona wamzungushe mitaani watu wajue kweli kafa.

Kuna ushirikina sio bure
 
CHADEMA mambo ya misiba kwao ni kick ya kisiasa....wamepoteza dira baada ya kuwa watetezi wa mafisadi....misiba yote kuanzia msiba wa Mawazo. wanafunzi Arusha na sasa Ndesamburo ni sehemu yao ya kutafutia umaarufu wa kisiasa
So makamu wa Rais alikuwa anatafuta umaarufu wa kisiasa?
 
Johannesburg - The remains of former president
Nelson Mandela will be paraded through the streets of Pretoria on the days he lies in state at the Union Buildings, the government said on Saturday.

"Every morning, when the remains leave the mortuary to the lying in state, those routes will be made public," GCIS chief director Neo Momodu told reporters in Johannesburg.

"We are going to be encouraging members of the public to be lining the streets... as [the body]... goes through the streets of Pretoria to the Union Buildings."

Tunangoja wewe ufe ili tukuzikie chumbani kwako.
Yani usione hata jua ili usiteseke.
 
Taarifa kutoka Radio One zinasema maiti Ya ndesamburo itazungushwa mitaani manispaa Ya Moshi ikiwa kwenye jeneza la kifahari lililonunuliwa toka kenya eti kuwapa nafasi wananchi kuaga. Huu ni utesaji maiti jamani. Watu wanafanya maiti kama maonyesho Ya biashara Ya kuzungusha mitaani. Chadema naona kuna washirikina hivi kwa nini wanaonyesha kama wamefurahi kifo chake kwa kuona wamzungushe mitaani watu wajue kweli kafa. Kuna ushirikina sio bure
Maiti kwani inasikia maumivu?unaitesaje sasa?halafu si itakuwa kenya gari la kifahari au?
 
CHADEMA mambo ya misiba kwao ni kick ya kisiasa....wamepoteza dira baada ya kuwa watetezi wa mafisadi....misiba yote kuanzia msiba wa Mawazo. wanafunzi Arusha na sasa Ndesamburo ni sehemu yao ya kutafutia umaarufu wa kisiasa
Wanachotaka kufanya ni kutumia maiti kufanya maandamano ya CHADEMA.Kutokana na kuwa siku ya kutembeza hiyo maiti (maandamano ya kutumia hiyo maiti) itakuwa ni siku za kazi na biashara basi maiti ipewe njia ambayo haitasababisha shughuli za watu wengine kusimama au kuvurugika.Polisi wawapangie njia zisizo na wafanya biashara wengi au ofisi nyingi za serikali
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom