Binadam Akishafariki ni vema akahifadhiwa sehemu yake husika ambayo ni kaburini ndiyo maana ndugu zetu waislam hawana mambo kama haya
kwa hiyo unamfananisha mandela na marehemu? how?Johannesburg - The remains of former president
Nelson Mandela will be paraded through the streets of Pretoria on the days he lies in state at the Union Buildings, the government said on Saturday.
"Every morning, when the remains leave the mortuary to the lying in state, those routes will be made public," GCIS chief director Neo Momodu told reporters in Johannesburg.
"We are going to be encouraging members of the public to be lining the streets... as [the body]... goes through the streets of Pretoria to the Union Buildings."
Tunangoja wewe ufe ili tukuzikie chumbani kwako.
Yani usione hata jua ili usiteseke.
Binadam Akishafariki ni vema akahifadhiwa sehemu yake husika ambayo ni kaburini ndiyo maana ndugu zetu waislam hawana mambo kama haya
Taarifa kutoka Radio One zinasema mwili wa Ndesamburo.
utazungushwa mitaani manispaa Ya Moshi ikiwa kwenye jeneza la kifahari lililonunuliwa toka kenya eti kuwapa nafasi wananchi kuaga.Huu ni utesaji jamani. Watu wanafanya maiti kama maonyesho ya biashara ya kuzungusha mitaani.
CHADEMA naona kuna washirikina hivi kwa nini wanaonyesha kama wamefurahi kifo chake kwa kuona wamzungushe mitaani watu wajue kweli kafa.
Kuna ushirikina sio bure
Daah!!..kuna wakati ukomunisti ulikuwa ni dini.magal abdel nasser
Kama ni kweli itakuwa ni ushenzi usio na kipimo kabisa.
Wanachotaka kufanya ni kutumia maiti kufanya maandamano ya CHADEMA.Kutokana na kuwa siku ya kutembeza hiyo maiti (maandamano ya kutumia hiyo maiti) itakuwa ni siku za kazi na biashara basi maiti ipewe njia ambayo haitasababisha shughuli za watu wengine kusimama au kuvurugika.Polisi wawapangie njia zisizo na wafanya biashara wengi au ofisi nyingi za serikali
Kwani hujui kuwa chadema ni chama cha siasa na kazi yake ni siasa
Nilikuwa nakuona mwenye akili, kumbe Bashite flani hivi.
Nimekutoa rasmi leo kwenye list yangu ya watu ninaowaeshimu hapa JF.
Swali....Familia ndiyo wamepanga iwe hivyo kuwa azungushwe mji wa Moshi ili watu wapate kumuaga kwa mpendwa Baba yao??Taarifa kutoka Radio One zinasema mwili wa Ndesamburo.
utazungushwa mitaani manispaa Ya Moshi ikiwa kwenye jeneza la kifahari lililonunuliwa toka kenya eti kuwapa nafasi wananchi kuaga.Huu ni utesaji jamani. Watu wanafanya maiti kama maonyesho ya biashara ya kuzungusha mitaani.
CHADEMA naona kuna washirikina hivi kwa nini wanaonyesha kama wamefurahi kifo chake kwa kuona wamzungushe mitaani watu wajue kweli kafa.
Kuna ushirikina sio bure
Kufa na wew uone kama watakuja kwakoHicho chama hakuna kiongozi hata mmoja mwenye hekima wote ni viongozi wanao waza maujiko tu na uhuni ni jambo la huzuni sana.