Mwili wa marehemu mangwair upo humu

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,375
Hili ndilo jeneza ambalo mwili wa marehemu albert mangwair umeifadhiwa,bado mwenzetu aja rest in peace mpaka apo watakapoamua kumuifadhi kwenye nyumba yake ya milele,bwana ametoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe....
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370326922413.jpg
    uploadfromtaptalk1370326922413.jpg
    42 KB · Views: 1,270
Hiyo picha nimetumiwa na rafiki yangu aliyepo south wakati wa kuuaga mwili wa marehemu,uko south
 
Ooh so sad!!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hili ndilo jeneza ambalo mwili wa marehemu albert mangwair umeifadhiwa,bado mwenzetu aja rest in peace mpaka apo watakapoamua kumuifadhi kwenye nyumba yake ya milele,bwana ametoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe....


kwani litamfanya asioze mkuu???
 
apumzike kwa amani....

Rafiki yako wa south hajatuma picha jinsi alivyokuwa
anaagwa au kakumbuka kutuma picha ya jeneza tu...??????
 
Mwili umefika dar, ila watu wapo nyomi na wamezuia msafara wanataka wabebe jeneza
 
Heaven on earth nimekupenda bureeee,u made my day,aaah aah aah,picha zipo sema sio ustaarabu kuzianika apa,zote ninazo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom