chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Kijana Allen Buberwa kutoka Tanzania alikuwa akisoma Chuo Kikuu nchini Marekani ambapo umauti ulimfika Jumatatu wiki hii baada ya kuzama mtoni.
Mwili wake unatarajiwa kurudishwa nyumbani Tanzania Jumatano au Alhamisi wiki ijayo.
Chanzo : BBC Swahili
Mwili wake unatarajiwa kurudishwa nyumbani Tanzania Jumatano au Alhamisi wiki ijayo.
Chanzo : BBC Swahili